Wadau,
Wana Vitendo SACCOS wote na wote ambao bado hawajajiunga na Vitendo SACCOS...
Tunafuraha kuchukua fursa hii ya kuwakaribisha na kuwaalika nyote kuhudhuria mkutano wetu wa kawaida wa...
Nyumba inapangishwa iko Morogoro,kihonda magorofani karibu na St.Fransis seminary,Ina vyumba Vitatu,Master Moja na vyumba vingine viwili.Ina public toilet,kitchen na sitting room Pia Ina fance na...
habari wanajamvi,
naweza kupata maelezo na sehemu ambapo ntaweza kupata utaalam wa kufungiwa tracker kwenye chombo cha usafiri kama pikipiki au bajaj kwa ajili ya kujua ilipo na kuona mienendo...
TOYOTA LITEACE NOAH
Noah SR40 2000 M
EXTRA OPTIONS :AFTERMARKET ALLOY WHEELS 15"
Automatic gear/Aircondition/radio system
petrol engine
model 1999
TOYOTA PASSO
Anti-Lock Brakes / Driver Airbag...
Habari za leo ndugu mr.busin£ss supplier
Tunajihusisha na usambazaji wa dagaa wa kukaangwa kutoka ziwa victoria (mwanza) kwa bei nafuu kabisa ni dagaa safi wasio na mchanga ni watamu sana...
mimi ni mkulima mdogo mdogo nafanyia shughuri zangu za kilimo mkoan Morogoro wilaya ya Mvomelo maeneo ya manungu tulian (karibu na kiwanda cha Mtibwa suger), nimelima mpunga heka sita (6) na...
Wadau natafuta mteja wa nissan patrol model ya 1991 enjini ya gari ni kama mpya maana haijatumika sana wala haijawahi kufunguliwa kabisabu ina km 152,650
tatizo lake ni body tu imechoka kdg ila...
Tanzania ya viwanda ni ya kusadikika kwa ukatikaji wa umeme ulivyoshamili nchini Mwenye kuuza jenereta ya KVA 4 mpaka 6 awasiliane.ninusuru kiwanda changu cha vyerehani vinne in box plz.
Habari?
Acha kutumia perfumes fake na ujipatie perfumes za viwango kwa bei chee baada ya duka zilizokua zinauzwa kufungwa.
Unaweza ukazihakikisha kama original kwa kutumia simu yako,utadownload...
Habari bangudu na jamaa.Nataka kuanza biashara ya kuuza juice inayotokana miwa hivyo nahitaji mashine.Lakini pia naomba na ushauri wa kitaalamu na uzoefu wa biashara katika nyanja za
1)Aina ya...
Habari wakuu nauza simu tajwa,hiz ni baadh tu ya sifa zake
Haina tatizo lolote,ni L8 Lite 5-Inch IPS (1GB Ram, 16GB ROM) Android 6.0 Marshmallow, 8MP real camera+ 2MP front camera, ina support...
Wakuu Wasalaam,
Napenda kuwajulisha kuwa tarehe 20 mwezi huu naanza tena kusuply kuku wa kienyeji kutokea dodoma kwa mikoa ya Morogoro na Dar es salaam
Uwezo wangu wa kusuply kwa wiki itakuwa ni...
Wakuu!
Kama kuna mtu ana Transportation Company tunaweza kufanya biashara.
Kuna mzigo unatakiwa kupelekwa Lusaka, ni Furnitures&Building Materials.
40 feet Container
26 Tonnes each
Container 20...