Vitendo SACCOS Inawaalika Wapenda Maendeleo Wote

Abdul Ghafur

JF-Expert Member
Sep 18, 2017
610
733
Wadau,

Wana Vitendo SACCOS wote na wote ambao bado hawajajiunga na Vitendo SACCOS...

Tunafuraha kuchukua fursa hii ya kuwakaribisha na kuwaalika nyote kuhudhuria mkutano wetu wa kawaida wa pili (wa kwanza ulikua tarehe 01/05/2017 kutangaza nia ya kuunda Vitendo SACCOS). Mkutano huo utakuwa na agenda kuu mbili, kwanza kutakuwa na semina itayotolewa na Afisa Ushirika Kibaha. Pili, tutakuwa na uchaguzi wa viongozi wa muda.

Tunatarajia kuchagua Mwenyekiti, Katibu na bodi ya kwanza ya Vitendo SACCOS. Pia tutachagua Wana kamati wa kamati mbili za awali. Kamati ya usimamizi na kamati ya mikopo.

Kila mwana VTS ana haki ya kuwania nafasi hizo, ana haki ya kupendekeza mwana VTS yeyote, ana haki ya kupendekezwa na Mwana VTS yeyote.

Tunawakaribisha nyote katika mkutano huo utakaoanza saa tano kamili za asubuhi na kuendelea mpaka saa saba mchana. Uchaguzi huo utahudhuriwa na Afisa Ushirika wa Kibaha kuhakikisha unakuwa huru na unafata sheria na kanuni zote za vyama vya ushirika ya mwaka 2013.

Mkutano utafanyika tarehe 21/10/2017, Vitendo Cinema Hall, mtaa wa Vitendo, kata ya Misugusugu, Kibaha - Pwani.

Google Maps

Kwa wataohudhuria tafadhali wasiliana nasi kwa whatsapp 0625249605.

Asanteni sana.

Abdul Ghafur
 
Tunapenda kuwaalika Wana habari wote kwenye mkutano huu.

Hii ni history in the making na watakua na coverage nzuri.

Waandishi watakaopenda kuhudhuria wawasialiane nasi 0625249605.

Karibuni nyote.
 
Update...

Wadau,

Kwanza tunashukuru AlhamduliLlah mkutano umeenda vizuri na umeisha salama.
Tunafuraha kuwafahamisha wadau wote kuwa mkutano umeenda vizuri kabisa na umefana sana.

Tulianza kwa kukaribishwa na Mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Vitendo...

Kisha nikaongea kidogo mimi kuwakaribisha wajumbe wote...

Baada ya hapo ikaanza semina ya ushirika iliotolewa na Afisa Ushirika wa wilaya ya Kibaha, Bwana Msangi. Semina ilikuwa ndefu kidogo lakini ilitoa mwangaza mpana wa nini SACCOS, vipi iongozwe, nini haki za Wana SACCOS na vipi haki zao zinalindwa na kusimamiwa na sheria rasmi za vyama vya ushirika na vipi serikali inasimamia vyama vya ushirika.

Yalizuka maswali mengi kiasi na hususan lilipoongelewa suala la kuendesha saccos kwa riba.

Hatimae kila mtu akaelewa kuwa hakuna tatizo kubwa isipokuwa ni namna tu ya mfumo wa uendeshaji SACCOS bila riba utavyofanyika.

Hilo na mengine yaliojiri mtajionea mkanda wa video.

Baada ya semina ukaanza mchakato wa uchaguzi wa viongozi wa muda. Ulioendeshwa na kusimamiwa na Afisa Ushirika kama sheria zinavyotaka.

Hatimae tukapata kamati ya uongozi wa muda ya uanzilishi wa Vitendo SACCOS Ltd., kwa mujibu wa Sheria na chini ya usimamizi wa Afisa Ushirika wilaya ya Kibaha.

Kamati hio ya muda ikamteua Katibu wa kwanza wa muda wa Vitendo SACCOS Ltd., chini ya usimamizia wa Afisa Ushirika wilaya ya Kiabaha.


Mambo yote hayo yapo kwenye video na picha. Zitakapokuwa tayari, tutapandisha video YouTube na kwenye tovuti yetu (inayoanadaliwa kwa sasa) tutapandisha video na picha.

Tunakaribisha maswali.

Asanteni na karibuni kujiunga na Vitendo SACCOS Ltd. kwa faida ya wengi.

Abdul Ghafur
Mwenyekiti
Mobile / Whatsapp 0625249605
 
Wadau,

Kwanza tunashukuru AlhamduliLlah mkutano umeenda vizuri na umeisha salama.
Tunafuraha kuwafahamisha wadau wote kuwa mkutano umeenda vizuri kabisa na umefana sana.

Tulianza kwa kukaribishwa na Mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Vitendo...

Kisha nikaongea kidogo mimi kuwakaribisha wajumbe wote...

Baada ya hapo ikaanza semina ya ushirika iliotolewa na Afisa Ushirika wa wilaya ya Kibaha, Bwana Msangi. Semina ilikuwa ndefu kidogo lakini ilitoa mwangaza mpana wa nini SACCOS, vipi iongozwe, nini haki za Wana SACCOS na vipi haki zao zinalindwa na kusimamiwa na sheria rasmi za vyama vya ushirika na vipi serikali inasimamia vyama vya ushirika.

Yalizuka maswali mengi kiasi na hususan lilipoongelewa suala la kuendesha saccos kwa riba.

Hatimae kila mtu akaelewa kuwa hakuna tatizo kubwa isipokuwa ni namna tu ya mfumo wa uendeshaji SACCOS bila riba utavyofanyika.

Hilo na mengine yaliojiri mtajionea mkanda wa video.

Baada ya semina ukaanza mchakato wa uchaguzi wa viongozi wa muda. Ulioendeshwa na kusimamiwa na Afisa Ushirika kama sheria zinavyotaka.

Hatimae tukapata kamati ya uongozi wa muda ya uanzilishi wa Vitendo SACCOS Ltd., kwa mujibu wa Sheria na chini ya usimamizi wa Afisa Ushirika wilaya ya Kibaha.

Kamati hio ya muda ikamteua Katibu wa kwanza wa muda wa Vitendo SACCOS Ltd., chini ya usimamizia wa Afisa Ushirika wilaya ya Kiabaha.


Mambo yote hayo yapo kwenye video na picha. Zitakapokuwa tayari, tutapandisha video YouTube na kwenye tovuti yetu (inayoanadaliwa kwa sasa) tutapandisha video na picha.

Tunakaribisha maswali.

Asanteni na karibuni kujiunga na Vitendo SACCOS Ltd. kwa faida ya wengi.

Abdul Ghafur
Mwenyekiti
Mobile / Whats-app 0625249605

 
Wadau...

Tumeanza kupokea wanachama kiukamilifu. Kiingilio, hisa na akiba. Na uwekezaji kwenye miradi mbali mbali.

Kwa maelezo zaidi whatsapp au piga 0625249605
 
Wanachama na Wana hisa wa Vitendo SACCOS wanategemea kuzindua na kuanza kazi miradi yao mitatu mipya hivi karibuni.

Miradi hiyo mitatu yote iliyo nje ya Vitendo SACCOS lakini imebuniwa na Wana VTS na itaendeshwa kwa njia ya kuchangiana mitaji na kugawana faida kwa muda maalum.

Miradi inayotarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni ni, mradi wa ukumbi wa sinema na mikutano, unaoweza kukaa watu 100, unatambulika kama mradi wa Vitendo Cinema Hall. Huu ni mradi wa muda mfupi kwa waliowekeza. Inatarajiwa kuwa mara tu utakapoanza hivi karibuni, wote waliowekeza kwenye mradi huu kuanza kupata mafao yao na faida ndani ya miezi sita.

Mradi mwingi unaotarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni unaojulikana kwa jina la Vitendo Bricks, mradi huu ni wa muda wa kati. Mradi huu utajumuisha utengenezaji wa matofali ya aina tofauti tofauti na pia kwa siku za mwanzoni unatarajiwa kuwa na bidhaa tofauti zinazotokana na mchanga, kokoto na simenti.

Mradi huo pia unatarajiwa kuwa na uwezo wa kutengeneza bidhaa zote za ujenzi zinazotokana na simenti, kokoto na michanga.

Mradi mwengine kuanza hivi karibuni ni mradi wa kijiko (excavator) ya kuchimba na kupakilia mchanga. Mradi huu upo kwenye matayarisho ya mwisho na unategemewa kuanza hivi karibuni. Huu ni mradi unaotarajiwa kuanza kulipa mafao ya wawekezaji na kukamilika ndani ya siku 365 za kazi.

Tunawakaribisha nyote kujiunga na Vitendo SACCOS Ltd. Kwa faida ya wengi.

Vitendo SACCOS imedhamiria kufanya mabadiliko ya uwekezaji Tanzania. Na sasa unaweza kuanza kuwekeza na VTS kwa kuanzia Shillingi 10,000 tu.

Kwa maelezo zaidi, wasiliana nasi kwa simu au whatsapp namba 0625249605.

Ahsanteni sana.
 
Wanachama na Wana hisa wa Vitendo SACCOS wanategemea kuzindua na kuanza kazi miradi yao mitatu mipya hivi karibuni.

Miradi hiyo mitatu yote iliyo nje ya Vitendo SACCOS lakini imebuniwa na Wana VTS na itaendeshwa kwa njia ya kuchangiana mitaji na kugawana faida kwa muda maalum.

Miradi inayotarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni ni, mradi wa ukumbi wa sinema na mikutano, unaoweza kukaa watu 100, unatambulika kama mradi wa Vitendo Cinema Hall. Huu ni mradi wa muda mfupi kwa waliowekeza. Inatarajiwa kuwa mara tu utakapoanza hivi karibuni, wote waliowekeza kwenye mradi huu kuanza kupata mafao yao na faida ndani ya miezi sita.

Mradi mwingi unaotarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni unaojulikana kwa jina la Vitendo Bricks, mradi huu ni wa muda wa kati. Mradi huu utajumuisha utengenezaji wa matofali ya aina tofauti tofauti na pia kwa siku za mwanzoni unatarajiwa kuwa na bidhaa tofauti zinazotokana na mchanga, kokoto na simenti.

Mradi huo pia unatarajiwa kuwa na uwezo wa kutengeneza bidhaa zote za ujenzi zinazotokana na simenti, kokoto na michanga.

Mradi mwengine kuanza hivi karibuni ni mradi wa kijiko (excavator) ya kuchimba na kupakilia mchanga. Mradi huu upo kwenye matayarisho ya mwisho na unategemewa kuanza hivi karibuni. Huu ni mradi unaotarajiwa kuanza kulipa mafao ya wawekezaji na kukamilika ndani ya siku 365 za kazi.

Tunawakaribisha nyote kujiunga na Vitendo SACCOS Ltd. Kwa faida ya wengi.

Vitendo SACCOS imedhamiria kufanya mabadiliko ya uwekezaji Tanzania. Na sasa unaweza kuanza kuwekeza na VTS kwa kuanzia Shillingi 10,000 tu.

Kwa maelezo zaidi, wasiliana nasi kwa simu au whatsapp namba 0625249605.

Ahsanteni sana.
 
Wadau,

Wana Vitendo SACCOS wote na wote ambao bado hawajajiunga na Vitendo SACCOS...

Tunafuraha kuchukua fursa hii ya kuwakaribisha na kuwaalika nyote kuhudhuria mkutano wetu wa kawaida wa pili (wa kwanza ulikua tarehe 01/05/2017 kutangaza nia ya kuunda Vitendo SACCOS). Mkutano huo utakuwa na agenda kuu mbili, kwanza kutakuwa na semina itayotolewa na Afisa Ushirika Kibaha. Pili, tutakuwa na uchaguzi wa viongozi wa muda.

Tunatarajia kuchagua Mwenyekiti, Katibu na bodi ya kwanza ya Vitendo SACCOS. Pia tutachagua Wana kamati wa kamati mbili za awali. Kamati ya usimamizi na kamati ya mikopo.

Kila mwana VTS ana haki ya kuwania nafasi hizo, ana haki ya kupendekeza mwana VTS yeyote, ana haki ya kupendekezwa na Mwana VTS yeyote.

Tunawakaribisha nyote katika mkutano huo utakaoanza saa tano kamili za asubuhi na kuendelea mpaka saa saba mchana. Uchaguzi huo utahudhuriwa na Afisa Ushirika wa Kibaha kuhakikisha unakuwa huru na unafata sheria na kanuni zote za vyama vya ushirika ya mwaka 2013.

Mkutano utafanyika tarehe 21/10/2017, Vitendo Cinema Hall, mtaa wa Vitendo, kata ya Misugusugu, Kibaha - Pwani.

Google Maps

Kwa wataohudhuria tafadhali wasiliana nasi kwa whatsapp 0625249605.

Asanteni sana.

Abdul Ghafur
mkutano lini tena nije jamani?
 
Huu mkutano wetu wa semina ya kwanza tuliopewa na afisa ushirika wa kibaha na uchaguzi wa viongozi wa kwanza wa muda wa Vitendo SACCOS...

 
Je, naruhusiwa kujiunga uanachama nikiwa mbali let say mkoa mwingine tofauti na mlipo ?
 
Ok thanks! Swali la mwisho ... Ni mkopo kiasi gani maximum naruhusiwa kuomba kwa mara ya kwanza?
Mara mbili ya akiba uliyoiweka.

Lakini, kama unaweza kuweka akiba, kwanini ukope usiwe mwekezaji?

VTS imeanzisha mfumo wa uwekezaji wa kipekee Tanzania. Sasa unakuwa mwekezaji kwa kuanzia Shillingi 10,000 tu.
 
Back
Top Bottom