Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Zipo tani tatu za tangawizi natafuta soko kubwa ambapo zinaweza kutoka zote haswa viwandani au masoko makubwa wanaochukua nyingi nyingi. Mzigo umeshatoka shambani tayari umeingia mjini. Karibu sana
0 Reactions
0 Replies
874 Views
Kiwanja kinauzwa pamoja na nyumba kiwanja kinauzwa kikiwa na nyumba GEITA njini kwa bei nafuu. pia kama utaitaji viwanja ama nyumba katika mikoa ifuatayo nijulishe BUKOBA MWANZA MUSOMA MARA...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wangwana naomba kama kuna mtu hum anae jua sehem wanayo uza fire extinguisher kwa bei ya jumla kwa mwanza please
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hey,mambo vp wana jamii forum? Natumai mu wazima kabisa, ombi langu kwenu kwa anaefahamu bei ya tangawizi sokoni kwa kilo naomba anipe price tafadhari na kama kuna anayefahamu soko la tangawiz kwa...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Asee nina mil 1 ninahitaji piki piki used(isizidi mwaka mmoja toka inunuliwe na iwe haijaguswa injini)ya kutembelea mwenye nayo anipe namba tuwasiliane!
0 Reactions
0 Replies
674 Views
PATA SERIES NZURI KWA BEI SAWA NA BUREE..................SEASON KAMA INHUMAN,THE GIFTED,DESIGNATED SURVIVOR 1&2, na nyingine nyingii nichek kwa 0658714777, or airtel 0692442335
0 Reactions
4 Replies
924 Views
Habari wakuu. Naomba kujuzwa sites nzuri kwa ajili ya kununua viatu mtandaoni na pia kujua namba za viatu za nchi yetu ukilinganisha na namba za mataifa mengine.... Inaonekana mataifa tofauti...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ng'ombe wa maziwa wanaotoa lita 17 hadi 20 aina ya Ayrshire na Freysian. Wenye mimba kati ya miezi 4 hadi 8. Bei 2.2 mil. Ng'ombe wanapatikana karibu na Mawasiliano(Sam Nujoma) Dar es salaam...
1 Reactions
9 Replies
8K Views
Habari wa jamii, nataka kununua kiwanja na ndio mara yangu ya kwanza na nilikuwa naomba kwa wenye uzoefu wa biashara izo wanishaur ni njia zipi naweza kupitia ili nisije jikuta tumeuziwa wawili na...
0 Reactions
1 Replies
740 Views
SAMSUNG SMART TV FULL HD LED USB PORT HDMI BIULDER CHANNELS 40" 1,600,000/= 0717-062242 DELIVERY IN DAR NA MIKOANI TUNATUMA PIA TUPO K.KOO CHINA PLAZA @nafuuelectronicssupplier.com
0 Reactions
2 Replies
894 Views
Habari, mwenye uzoefu na mashine za kichina za kutengenezea kokoto anipe uzoefu, kuhusu uimara wake, changamoto zake na kadhalika. shukrani
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habarini wakuu..naamini tu wazima wa afya na tunaendelea kupambana kujikwamua kiuchumi mimi ni mfugaji kwa muda sasa na pia ni mwanafunzi wa chuo cha sayansi ya afya na tiba- bugando Ninauza...
0 Reactions
1 Replies
48K Views
Wakuu poleni na majukumu, Ni wapi hapa dar nitapata mbegu bora za mahindi, nipate na maelezo yake mfano -Zinachukua muda gani kuota mpaka kuvunwa -Bei gani kwa kilo -Zinapandwa ngapi kwa shimo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wakuu na tumai mko salama.. Naomba niende moja kwamoja kwenye uzi husika..Huu utakua uzi husika kwajili ya wanao nunua na kuuza vitu vyao binafsi..bila kupitia madalali.. Usawa huu vyuma...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Nina shida na processor ya Acer H5360 3D-DLP Projector ambayo unaweza ichomoa kwenye projector ambayo huna matumizi nayo labda ni mbovu iwe na umbo la mstatili na iwe katika Hali nzuri zinaingilia...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa mwenye uwezo wa kunisaidia kwa hili please na anisaidie tafadhali. Bajeti yangu ndo hiyo nipo Ukonga gongo la mboto Dar es salaam.
0 Reactions
2 Replies
765 Views
Hello Gentleman and ladies, Natafuta Korosho kwa bei ya jumla please. Nahitaji debe moja tuu ambazo zimeondolewa maganda yake .ni kwa ajili ya matumizi ya nyumbani . Asanteni sana sana .
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…