plasido divi
Member
- Feb 1, 2015
- 90
- 21
Kwa anae hihaji mahindi nina gunia 50 na kila gunia ni shilingi 50000 tu napatikana Arusha kisongo kwa mawasiliano piga 0759547047
Uzito si uleule wa mahindi, unategemea gunia la kilo 100 litoe unga wa kilo 120..?!!Hivi gunia moja linatoa unga kilo ngapi??
MKUU, lazima upungue. ..bdo mana nimeuliza...yani ukichukua gunia moja la maindi ukakoboa then kusaga,unapata kilo ngapi ya unga...Uzito si uleule wa mahindi, unategemea gunia la kilo 100 litoe unga wa kilo 120..?!!
MKUU, lazima upungue. ..bdo mana nimeuliza...yani ukichukua gunia moja la maindi ukakoboa then kusaga,unapata kilo ngapi ya unga...
Nadhani hukunielewa
Sawa.[emoji15] [emoji15]Matter can neither be created nor destroyed..