Traviana Tray
JF-Expert Member
- Jul 8, 2017
- 546
- 457
Habari zenu nime ambiwa ofisi ya GRANT CARLCARE ipo karibu na jengo la NHC house mtaa wa samora mtaa huo upo wapi?
Nyuma ya lile kanisa kubwa la posta la ROMAN CATHOLICS ambalo linatazamana na Azam marine ferry, pia Kama una smartphone tumia Google location tuu usafiri pekee Kama hauna usafiri binafsi kufika pale itakubidi upande mwendokasi.
Asante me nipo darNyuma ya lile kanisa kubwa la posta la ROMAN CATHOLICS ambalo linatazamana na Azam marine ferry, pia Kama una smartphone tumia Google location tuu usafiri pekee Kama hauna usafiri binafsi kufika pale itakubidi upande mwendokasi.
![]()
Kanisa linaitwa st.joseph cathedral Kama unavyojionea kwenye ramani hapo nyuma yake Sasa, ila nikupe angalizo Kama unaishi mkoani Kama Mimi angalia usiabike humo ndani Kama utahitaji kupanda juu kwenye hilo jengo la NHC maana Kuna zile lift za ngazi zinatembea sijui ndio zinaitwa escalator kuwa makini sana mkuu.
asante!Paulina ray, kurahisisha kazi.....ebu ni Pombe M...fuli namba yako ya simu kwa maelekezo ya uhakika na ikibidi kukufikisha, nipo nipo tu sina shughuli.........ule uhakiki si unaukumbuka???
jaman me c kichwa majiKama hajaelewa hapa nadhani nae atakuwa kichwa namba 8 kwa kweli.
Ngoja tuone.
Umefika sasa bibie au unahitaji msaada zaidi nije PM...?Asante me nipo dar
ni safari ya kesho mwaya,c unajua tena??DO SOMETHING AS A PREPARATION OF SOMETHING.Umefika sasa bibie au unahitaji msaada zaidi nije PM...?
Hahaha nimelipenda angalizo lako mkuuNyuma ya lile kanisa kubwa la posta la ROMAN CATHOLICS ambalo linatazamana na Azam marine ferry, pia Kama una smartphone tumia Google location tuu usafiri pekee Kama hauna usafiri binafsi kufika pale itakubidi upande mwendokasi.
![]()
Kanisa linaitwa st.joseph cathedral Kama unavyojionea kwenye ramani hapo nyuma yake Sasa, ila nikupe angalizo Kama unaishi mkoani Kama Mimi angalia usiabike humo ndani Kama utahitaji kupanda juu kwenye hilo jengo la NHC maana Kuna zile lift za ngazi zinatembea sijui ndio zinaitwa escalator kuwa makini sana mkuu.
Sawa ila MWAYA maana yake nini...?ni safari ya kesho mwaya,c unajua tena??DO SOMETHING AS A PREPARATION OF SOMETHING.
jaman me c kichwa maji
Hahaha huwa naziogopaHahaha nimelipenda angalizo lako mkuu
mpendwaSawa ila MWAYA maana yake nini...?
hapanaKwa hiyo ina maana Mheshimiwa ni kichwa maji mamiii...?