Nataka kununua kampuni

Nataka kununua kampuni

Kwa nini usisajili yako, hiyo ya kununua inaweza kuwa na madeni ya Annual Returns nk , ni ushauri tu!
 
Kwa nini usisajili yako, hiyo ya kununua inaweza kuwa na madeni ya Annual Returns nk , ni ushauri tu!
Kuna tender nataka niombe sehemu sasa nkisajili yangu sasa hivi haiwezi kuingia GPSA mpk mwaka ujao wa serikali nitakosa hii kazi
 
Ukifanikiwa me naomba unikumbuke hata kibarua cha usafi tu mkuu kwenye hio kampun yako
 
Ukifanikiwa me naomba unikumbuke hata kibarua cha usafi tu mkuu kwenye hio kampun yako NIKO SERIOUS
 
Nataka kununua kampuni iliyosajiliwa BRELA na ipo kwenye GPSA


Tafadhali tuwasiliane pm
Mkuu kampuni ambazo ziko Gpsa Kuna category kwa mfano yangu ipo Gpsa ILA category ya Elevator na escalator maintenance mkoa wa Dar es salaam, siruhusiwi kufanya kazi tofauti na niliiyoiomba, ungeweka category yako unayohitaji ingekuwa rahisi kidogo kukusaidia. Kwa maelezo zaidi +255 714 434 190
 
Mkuu kampuni ambazo ziko Gpsa Kuna category kwa mfano yangu ipo Gpsa ILA category ya Elevator na escalator maintenance mkoa wa Dar es salaam, siruhusiwi kufanya kazi tofauti na niliiyoiomba, ungeweka category yako unayohitaji ingekuwa rahisi kidogo kukusaidia. Kwa maelezo zaidi +255 714 434 190

General supplies
 
Back
Top Bottom