Arthurtz
Senior Member
- Feb 10, 2017
- 151
- 121
Habari wana jamii.
Katika pitapita zangu nimekutana na habari inayosema jeshi la magereza linatengeneza viatu vya ngozi vizuri sana kwa ustadi mkubwa
Huku moshi.
Viatu hivi ni kwaajili ya maafisa polisi na hata wananchi wa kawaida.
HIVYO BASI KWA YEYOTE ANAYEFAHAMU MAHALI AMBAPO VIATU HIVYO VINAUZWA KWA HAPA DAR ES SALAAM NAOMBA ANIJUZE.
Mimi huwa napenda kutumia bidhaa bora zinazozalishwa ndani ya nchi yetu kwa kutumia malighafi zetu na nguvu kazi ya ndani ya nchi yetu. Wewe je!?
Katika pitapita zangu nimekutana na habari inayosema jeshi la magereza linatengeneza viatu vya ngozi vizuri sana kwa ustadi mkubwa
Huku moshi.
Viatu hivi ni kwaajili ya maafisa polisi na hata wananchi wa kawaida.
HIVYO BASI KWA YEYOTE ANAYEFAHAMU MAHALI AMBAPO VIATU HIVYO VINAUZWA KWA HAPA DAR ES SALAAM NAOMBA ANIJUZE.
Mimi huwa napenda kutumia bidhaa bora zinazozalishwa ndani ya nchi yetu kwa kutumia malighafi zetu na nguvu kazi ya ndani ya nchi yetu. Wewe je!?