Viatu vinavyotengenezwa magereza

Viatu vinavyotengenezwa magereza

Arthurtz

Senior Member
Joined
Feb 10, 2017
Posts
151
Reaction score
121
Habari wana jamii.
Katika pitapita zangu nimekutana na habari inayosema jeshi la magereza linatengeneza viatu vya ngozi vizuri sana kwa ustadi mkubwa
Huku moshi.
Viatu hivi ni kwaajili ya maafisa polisi na hata wananchi wa kawaida.
HIVYO BASI KWA YEYOTE ANAYEFAHAMU MAHALI AMBAPO VIATU HIVYO VINAUZWA KWA HAPA DAR ES SALAAM NAOMBA ANIJUZE.
d36f6d55fb39c1716cac3d7cd6ce5f1e.jpg


bf7b48ceafe49ecda1e013e587e5b841.jpg

Mimi huwa napenda kutumia bidhaa bora zinazozalishwa ndani ya nchi yetu kwa kutumia malighafi zetu na nguvu kazi ya ndani ya nchi yetu. Wewe je!?
 
Habari wana jamii.
Katika pitapita zangu nimekutana na habari inayosema jeshi la magereza linatengeneza viatu vya ngozi vizuri sana kwa ustadi mkubwa
Huku moshi.
Viatu hivi ni kwaajili ya maafisa polisi na hata wananchi wa kawaida.
HIVYO BASI KWA YEYOTE ANAYEFAHAMU MAHALI AMBAPO VIATU HIVYO VINAUZWA KWA HAPA DAR ES SALAAM NAOMBA ANIJUZE.
d36f6d55fb39c1716cac3d7cd6ce5f1e.jpg


bf7b48ceafe49ecda1e013e587e5b841.jpg

Mimi huwa napenda kutumia bidhaa bora zinazozalishwa ndani ya nchi yetu kwa kutumia malighafi zetu na nguvu kazi ya ndani ya nchi yetu. Wewe je!?
Nikweli mkuu Magereza wanacho kiwanda cha kutengeneza viatu vya ngozi nadhani ni gereza la karanga moshi au gereza la iringa kama sijakosea.
 
Nikweli mkuu Magereza wanacho kiwanda cha kutengeneza viatu vya ngozi nadhani ni gereza la karanga moshi au gereza la iringa kama sijakosea.
Hilo ni gereza la karanga Moshi lipo karibu na barabara ya Arusha-Moshi
 
Nafahamu gereza lipo moshi ila nimeambiwa wana duka Dar es salaam
 
Duka lipo Kule Clock Tower, ukifika pale mnara wa saa DSM, uliza mtu yeyote pale, atakuonyesha lilipo, kuna Na bidhaa nyingi sana za ngozi sio viatu tu,
 
Back
Top Bottom