Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Jamani kuna mizani mikubwa inauzwa ni industrial scale inaweza kupima hadi kg 3000, inafaa sana kwenye biashara ya kupima mizigo mikubwa, atakayehitaji ani PM nimuanganishe na mhusika,
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari. Waungwana hebu naomba offer zetu (in term of cost) kwa ajili hard drive ya ukubwa wa 2tb iwe externa na brand new (sealed) na kabila liwe transcend.. Niko serious na nahitaji haraka. Hii...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Ninayo kama unataka mkeo awe na joto asikuboe njoo pm na elf 40 yako haina madhara imethibitishwa na tfda. Inasaidia mwanamke awe na hamu zaidi hata kama amezeeka pia kwa wale dry inasaidia...
1 Reactions
45 Replies
7K Views
36000klm Ingine...2AZ CC........2400 VVTI. contact 0656202038
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Hawa ni aina ya mbwa wenye nguvu sana na wako very agressive ukiwalea vibaya Ni breed yenye nguvu kuliko zote na hamna mbwa anaeweza kuzungumza mbele ya pitbull Wamebreediwa kuuwa mbwa wengine...
1 Reactions
74 Replies
16K Views
kwa wale wenye mahitaji ya office,apartment maeneo yafuatayo makumbusho,kinondoni,masaki,msasani office space zipo makumbusho karibu na jengo la tigo bei ni kuanzia $15-16.5 kwa sqmeter mazungumzo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Helow, Napenda kusema kwa wahitaji wa mashudu yanapatikana na yanakufikia popote ww unapotaka kwan tuaangalia na ukubwa wa uhitaji wako kwan si bei ghali ni ksh 50 per kilo kama unaihitaj pls...
0 Reactions
1 Replies
689 Views
Kama title inavyojieleza hapo nahitaji sabufa kubwa iliyo katika hali nzuri kwa bei nafuu Mimi nipo dar Kama unayo ni pm or comment hapa au weka picha yake niione tufanye biashara
0 Reactions
21 Replies
13K Views
UNAZO switch na Router za CISCO kwa bei nafuu kushinda wauzaji wote hapa mujini. Tupo new Shamo tower second floor. 0786888824/0717031290 au md@msoft.co.tz
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Majogoo wazazi wa asili aina ya kuroiler wanauzwa Sinza Dar es Salaam, wana uzito wa kuanzia kilo mbili 2 na kuendelea. Bei ni nzuri sana Tshs 15,000 kwa kila jogoo na wapo idadi ya kutosha. Kwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nina simu aina ya Tecno Phantom Z mini iliingia kwenye maji so naihitaji motherboard yake maana kila fundi anasema ni old version kama yupo wenye hiyo mambo tuchekiane. nawasilisha
0 Reactions
1 Replies
940 Views
Wanandugu Kama Kuna mtu anauza samsung Galaxy S5 Naomba anijulishe na aweke Bei yake Hapa Jukwaani!
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Anahitajika mwalimu wa kufundisha mwanafunzi wa kidato cha tatu kipindi hiki cha likizo. VIGEZO - atakuwa anamfundishia nyumbani - atakuwa anamfundisha yale masomo matano basic - awe anaishi...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari. Kiwanja kinauzwa Babati. Serikali waligawa hivi viwanja na unapatiwa hati yako kutoka serikalini, a clean title dead. Kiwanja kilo barabara ya kuelekea Arusha na ni masaa mama matatu to...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kilivyotangulia, Nauza kiwanja changu kipo Kigamboni kina square mita 600 kimepimwa na kina hati kipo jirani na Avic town bei ni mil 10. Mawasiliano 0742597424
0 Reactions
1 Replies
945 Views
Hellow wana jamii forum nilikua naulizia mtaalamu wa IT anaejua zile system finger print zinazofungwa katika maofisi kwaajili ya watumishi Ku sign in na out aje DM tufanye deal
0 Reactions
2 Replies
515 Views
Habari njema kwa wenye uzito mkubwa,vitambi na tatizo la kisukari. Wasiliana nami nikupe ufahamu na suluhisho la matatizo hayo kwa simu nambari 0654267459
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kiwanja kilichopimwa,Chenye documents kinauzwa. Mahali; Sofu Kibaha picha ya ndege,km 2 toka main road ya Dar-Chalinze.Upande wa kushoto wa gereza kama unatokea Dar. Ukubwa; 750 meters square...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
gari inahitajika hapa mwanza la chini ya shilingi mil 5 lisiwe six cylinder
0 Reactions
1 Replies
742 Views
Ndugu yangu mambo yangu hayapo vizuri kabisa. Napambana lakini hali bado mbaya. In short vyuma vimekaza. Nimefikiria nimeona humu kuna watu wengi na tofauti tofauti, naomba kuwaomba kwa kuwa...
5 Reactions
24 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…