ANAHITAJIKA MWALIMU WA TUTION MBEYA

ANAHITAJIKA MWALIMU WA TUTION MBEYA

Wakwetu03

Senior Member
Joined
Sep 15, 2010
Posts
197
Reaction score
87
Anahitajika mwalimu wa kufundisha mwanafunzi wa kidato cha tatu kipindi hiki cha likizo.

VIGEZO
- atakuwa anamfundishia nyumbani
- atakuwa anamfundisha yale masomo matano basic
- awe anaishi Mbeya mjini

ZINGATIA utakapokuwa unafanya mawasiliano utaje na bei zako mwanafunzi anaingia kidato cha tatu january 2018

Wasiliana nasi kupitia
P. Box 2213,Mbeya.
Email:tubedevelopment17@gmail.com
Phone:0688241249
 
Anahitajika mwalimu wa kufundisha mwanafunzi wa kidato cha tatu kipindi hiki cha likizo.

VIGEZO
- atakuwa anamfundishia nyumbani
- atakuwa anamfundisha yale masomo matano basic
- awe anaishi Mbeya mjini

ZINGATIA utakapokuwa unafanya mawasiliano utaje na bei zako mwanafunzi anaingia kidato cha tatu january 2018

Wasiliana nasi kupitia
P. Box 2213,Mbeya.
Email:tubedevelopment17@gmail.com
Phone:0688241249
Mimi nipo.....
Malipo Tsh 44,000/= per day kama upo tayari nicheck pm kwa mawasiliano zaidi
 
Shost alipata shavu kama hilo, basi baada ya darasa dinner ilikuwa saved na watu wenyewe walikuwa wa mboga saba
 
Anahitajika mwalimu wa kufundisha mwanafunzi wa kidato cha tatu kipindi hiki cha likizo.

VIGEZO
- atakuwa anamfundishia nyumbani
- atakuwa anamfundisha yale masomo matano basic
- awe anaishi Mbeya mjini

ZINGATIA utakapokuwa unafanya mawasiliano utaje na bei zako mwanafunzi anaingia kidato cha tatu january 2018

Wasiliana nasi kupitia
P. Box 2213,Mbeya.
Email:tubedevelopment17@gmail.com
Phone:0688241249
Mkuu mtu. 1 afundishe masomo 5 tofauti ??? Mbona hata wanaosomea ualimu huwa na masomo 2 we unataka ma5

Anyway kuna watu vichwa sana
 
Back
Top Bottom