Ndg zangu wanajopo mimi ni mkulima natafuta njia ya kuwasiliana na wale wachina wanaotoa mbegu ya mihogo yeyote anayejua njia ya kuwasiliana nao tafadhali anijuze haraka
Nauza unga wa mahindi lishe au mahindi ya njano ni mzuri sana na unafaa kwa watoto kuanzia miez sita hadi wazee.
Kilo ni 3000 tu napatikana mbezi ya kimara.
Kwa mawasiliano zaidi 0715 336718
Nahitaji fremu ya kupanga kwa ajili ya depot ya vinywaji baridi na bidhaa za jumla maeneo ya Goba, Massana, Mbezi Mwisho. Tafadhali ni-pm kama una eneo
Reuters
CME Group Inc (CME.O) on Friday said it will launch its bitcoin futures contract on Dec. 18 to provide a regulated trading platform for the cryptocurrency futures market.
The bitcoin...
Habari WanaJamii
Kwa wale wanaohitaji kusambaza na kutafuta masoko ya bidhaa zao wilaya ya Tarime (mjini na vijijini)..
Mfano Bidhaa za;
**hardware (ujenzi, ufundi, welding)
**Kilimo ( mbegu...
Usipitwe na offer hii. Jipatie blog ya WordPress kwa tzs 55,000/. Gharama hii inajumuisha hosting ya mwaka mzima, domain name ya .com pamoja na designing. Tuwasiliane hapa 0719658086
Habari WanaJamii,
Kwa wale wanaohitaji kusambaza na kutafuta masoko ya bidhaa zao wilaya ya Tarime (mjini na vijijini)..
Mfano Bidhaa za;
**hardware (ujenzi, ufundi, welding)
**Kilimo ( mbegu...
Are you a supplier or service provider with the best deal. We will help to advertise FREE ON BIG MARKET TZ .
COMPETE WITH BIG BRANDS ONLINE LET YOUR BUSINESS GO VIRAL ONLINE...
Habari zenu wadau?
Mimi ni mjasiliamali naishi Singida.
Natafuta mtu mwenye stationary au aliefunga biashara hiyo ila ana mashine ya kutolea copy ya ziada au haitumi.
Nahitaji kukodisha au...
Lahe hotels ya Mwanza yenye hadhi ya nyota tatu inatafuta proffessional manager mmoja mtanzania au kutoka nchi jirani mwenye uzoefu wa kuendesha hoteli na pia receptionist mmoja na waitress...
Nina masalia ya dola za marekani niliyosave safari yangu ya ulaya. Kuliko niyauze bureau afu wapige profit kwa mteja wa mwisho bora niyauze mwenyewe, anayehitaji anipm.
Zipo Ekari 300
Zinapatikana ktk tarafa ya Lupembe mkoani njombe
Kwa mawasiliano zaidi 0764426929,0655726929 na whatsapp 0742188846
Zinauzwa kuanzia heka 10 na kuendelea.
Bei ni tsh laki moja tu
Wandugu hivi hapa Dar kuna anayefahamu Mahali wanapofanya biashara ya" ku Trade" in magari?yaani wanachukua gari lako la zamani, unaongeza pesa na kupewa gari jingine jipya zaidi . Yeye...
Kwa wanaohitaji viwanja vya makazi vilivyopimwa..ndani ya eneo lenye huduma na makazi tayari.
Eneo linafikika..mtaa unaitwa Leperanya/kwa pius.. Mita 300kutoka kituo cha daladala/soko...
Nina kibanda change nahitaji fundi wa mfumo wa umeme na mabomba kabla ya kupiga plasta, awe Dar, vifaa vyote nitanunua mwenyewe yeye nitamlipa ufundi tu, mimi nipo ulongoni Gmboto. ni nyumba ya...