Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!! Ninauza mayai ya kuku wa kienyeji kwa ajili ya kula na pia ukitaka kwa ajili ya...
0 Reactions
2 Replies
708 Views
Je unaishi maeneo ya Kibaha Kwa Matias? Unaweza kufundisha masomo ya Commerce na Book keeping? Kama jibu ni ndiyo na unapenda kufanya kazi part time, tuandikie na kututumia cv yako na barua ya...
0 Reactions
1 Replies
717 Views
Nauza subwoofer aina ya Sony ni original kabisa na sio feki na inapiga CD 1 ,flash,unaweza ingiza sauti ya tv ikatokea kwenye redio,inaweza kuunganishwa na pc kupigia mziki unaweza kuunga speaker...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Nauza AC imetumika miezi 3 na wiki 2. Bei laki 4. Nipo tangibovu. Kwa mawasiliano zaidi: 0713961638.
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Hawa ni dagaa safi kutoka mwanza wamekaangwa hawana mchanga hata kidogo hii ni bei ya promotion kabisa sawa na bure kipimo ni ndoo kubwa ya maji Napatikana Dar esa salaam mabibo 0717184353
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Je, ni wangapi humu wagependa somo la ujasiriamali? Najiandaa kuandaa somo hilo, humu jamvini, hasa kwa wamiliki wa biashara ndogondogo na wajasiriamali. Somo litahusu taratibu mbalimbali...
6 Reactions
47 Replies
4K Views
Nauza haka kakifaa kanako print, scan na kutoa kopy kwa tshs 90000 tu. Kana hali nzuri Nipo dsm. Anaehitaji aje pm
0 Reactions
5 Replies
818 Views
Kifusi cha udongo kinapatikana maeneo ya kibaha (ujenzi), udongo upo wa kutosha na kwa bei nafuu sana, kuna kijiko(Wheel loader) cha kuchotea wewe uje na gari tu. Kwa maelezo zaidi karibu inbox...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hello wapendwa.. MSIMU WA KILIMO Umewadia na unaendelea kwa mikoa mingine.. Jipatie mbolea nzuri ya BioPlus isiyo na Kemikali kwa matokeo mazuri zaidi! *BIOPOWERPLUS ORGANIC FOLIO FERTILIZER*...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Habari za Asubuhi Wanajukwaa, Natafuta fundi simu, ambaye anaweza kunitengenezea simu yangu aina ya Sony Xperia Z3+ . Kuna fundi alinifanyia kituko ndio maana nimelazimika kuingia huku...
0 Reactions
1 Replies
775 Views
Habari zenu waungwana,Siku ya jana nikiwa na rafiki yangu kwenye matembezi alinishawishi tukaudhurie semina katika moja ya makampuni ya kusambaza dawa kama jinsi alivyo nieleza,cha ajabu mafunzo...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Imeuzwa asanteni
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ndugu wana Jf,najiuliza mara nyingi sana juu ya huu mfumo mpya wa ubashiri wa mpira wa miguu nilio uandaa.Binafsi naona inawezekana kabisa,sijui kwa upande wenu OPTIONS KWA AJILI YA UBASHIRI WA...
1 Reactions
0 Replies
625 Views
Wakuu, vyote vipo kwenye hali nzuri, almost vipya hasa Kinanda maana hakijamaliza hata miezi 3. Gitaa ni YAMAHA, linatumia umeme pia. Lina begi na cable yake. Kinanda ni TANSEN, kina begi na stand...
2 Reactions
48 Replies
19K Views
Kama ujumbe unavyojieleza naomben kwa alie dar anichek kwa namba 0752508163 tufanye biashara, RAM iwe ina range 6GB - 8GB
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Nahitaji startimes wakuu nanunua kwa tsh 20000 nipo Arusha kama kipo njoo pm
0 Reactions
19 Replies
1K Views
*Tangazo kwa vijana wenye uwezo wa kuandika miradi (project proposals* Taasisi ya yemco yenye makao yake makuu sinza white inatafuta vijana wenye utaalam na uwezo wa kuandika miradi *project...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama unayo ni check tafadhali iwe ya mitando hiyo ila imechakachuliwa ( universal) ni check 0715812160
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Back
Top Bottom