Contact me now for effective design and desirable plus complicated plans.
Tunafika site kwako tunachukua vipimo..halafu tunafanya kazi
Karibu sana
0654919121
Nauza gari aina ya Toyota PROBOX. Kwa anayehitaji twaweza kuwasiliana.
> Gari ni ya mwaka 2008
> Imetembea (kilometa) 42000km
> Ukubwa wa injini ni Cc 1500
> Ni Automatic,
> Rangi nyeupe
Maelezo...
Nyumba inauzwa 25m
Vyumba sita,nyumba ya kawaida tu
Jiko njee choo nje.
Unaweza kufanya adjustment kuweka masterbedroom ya kishkaji
Umeme na maji yapo.
Karibu na huduma zote muhim,shule nk.Mjini...
Resonate Consulting Group is pleased to announce the first intake of participants for CISA training for 2018. This practical hands-on CISA training will enable participants to acquire marketable...
Kuna rafiki yangu anaishi maeneo ya Kibaha anatafuta Fundi wa CCTV camera wa eneo la Kibaha! Shida ni kufunga camera hizo nyumbani kwake! Kama Fundi huyo yupo ajitokeze akamate huo mpunga!
Ndugu zangu heshima kwenu jukwaa lenye madini mbali mbali ya elimu,anaefahamu jinsi ya kupata hii mashine ya kusaga na kuhifadhi tangawizi ktk pakti na zenye lebo kisha kuuza nje ya nchi ili...
Habari zenu wote?
Tunasafirisha mizigo ya aina mbalimbali kutoka Arusha,Moshi hadi Tanga.
Tuna lori zetu ambazo huwa zinakuja kuchukua sementi Tanga na hivyo kuja zikiwa tupu na kurudi na mzigo...
Nauza laptop yangu aina ya advent,ni nzima kila kitu kasoro spika hua inatoa sauti ya mkwaruzo wakati wa kuwaka ila kila kitu kipo okay.
Ram:4Gb
Hdd:500gb
Processor:duo core
Karibuni bei ni chee...
jipatie mkoba wa kijanja kwa bei nafuu kabisa. pendeza na tokelezea kijanja kwa malighafi bora
kwa mawasiliano zaidi
watsup 0769103506
halotel 0621095493
Habari za majukumu wadau wa JF.
Nauza kitanda cha mninga 5*6 na godoro lake nchi 8, vyote vimetumika miezi mitano tu.....
nipo Dar tmk mtongani
phone no: 0715253904 au 0744774462.
Karibuni sana...
NAUZA SIMU AINA YA SAMSUNG GALAXY J7 2016 nina shida nataka kurudi mkoani. Niko pugu dar. Simu iko vizuri nimenunua mwaka huu mwezi wa pili dukani. Bei laki 3 na 20tu.
kwa mawasiliano 0655101826.
True Ink Associates inapenda kuwatangazia wote kuwa review class ya CISA (Certified Information Systems Auditor) itaanza tarehe 03/04/2017, Dar Es Salaam City Center.
Kozi ni ya week tano (5)...