Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,673
Shamba lenye ukubwa wa hekari tano linauzwa lipo maeneo ya kongowe halmshauri ya mji wa kibaha bei maelewano!
ni kweli nauza mkuuBora wewe unauza shamba maana siasa zimeingiliwa na watu wa kuja.
millioni tatu kwa hekaritaja bei ya kianzio chako ndio bargain ianze..hili tangazo halijakaa sawa .
million tatu kwa hekariWeka bei
naomba namba yako ya simu inbox...nakuja bongo soon nije ninunue asap.million tatu kwa hekari
Umbali upi kuanzia Barabara ya MorogoroShamba lenye ukubwa wa hekari tano linauzwa lipo maeneo ya kongowe halmshauri ya mji wa kibaha bei maelewano!
km 10 mkuuUmbali upi kuanzia Barabara ya Morogoro
SawaMimi nauza kingulwila Morogoro heka 5 na robo kwa Mil.5 tu....shamba bado ni jipya na lina nyaraka za serikali ya kijiji na viongozi walioniuzia bado wako madarakani...kama utapenda tutaenda pia ardhi kwa verification...Karibuni sana.
Karibu mkuu tuyajenge...maelewano yapoSawa