Jambo Wadugu. Natafuta supplier wa Alovera at a large scale tafadhali. Kama kuna yeyote ni mkulima au anamfahamu mkulima tafadhali ani inbox. Natanguliza shukrani.
1.Pro HTML5 with
CSS, JavaScript, and
Multimedia
Complete Website Development
and Best Practices
Mark J.
by Mark J. Collins
2.
Beginning
HTML & CSS by
Rob Larsen
usiniambie mambo ya pdf...
Ni mkusanyiko wa movies na series kali ikiwemo za Kikorea, za Kimarekani, Asia, Nigeria, Bongo nk
Ni mkusanyiko wa zaidi ya movies 500+
Naitoa hii ofa kwa wateja wangu wote wapya. Utauziwa...
Ipo fremu ya biashara mita chache kutoka geti la kuingia hostel za mabibo, hii frem ilichukuliwa na mtu ambaye bahati mbaya anahamia dodoma. Vitu vilivyobaki ndani ni fridge jipya la mlango wa...
Salamu sana wanajamii wote.
Natafuta mnunuzi wa michaichai. Ni ile ya kiasili. Haijalimwa au kukuzwa na mbolea.
Niko Kibaha Kwa Mfipa
Bei, kila shina ni shilingi elfu mbili.
Kama uko tayari...
Tafadhali naomba msaada wa kueleweshwa kidogo,siku za karibu ni kumetokea uuzaji wa nyumba maeneo ya mbagala chamanzi,nyumba nyingi zinauzwa huko.tafadhali naomba kujua kuna shida gani,naogopa...
Mbwa mdogo mbegu ya kizungu (chotara) kuanzia miez mitatu hadi mitano anahitajika maeneo ya Morogoro mjini. Kwa mawasiliano :0653178857 call,watsapp 0652028511
Wakuu nahitaji moja wapo ya aina ya hizo gari ila ukaguzi nitaufanya mwenyewe na sihitaji dalali na bajeti yangu inaanzia 3.5Mill... only serious seller njooni .. Ukumbusho nahitaji mojawapo wa...
Habari za majukumu wadau, Ninavyo vioo viwili vya Accer naviuza. Kimoja kina hitilafu ndogo (kina mstari ndani) lakini kinafanya kazi kama kawaida. Kisicho na hitilafu kabisa nakiuza 120,000 hiki...
Contact me now for effective design and desirable plus complicated plans.
Tunafika site kwako tunachukua vipimo..halafu tunafanya kazi
Karibu sana
0654919121
0758919121
0626919121
0683928358...
Mimi ni mjasliamali mdogo nahitaji kupata soko la hii bidhaa ya mbegu za mchicha lishe kwani hadi sasa nina hzo mbegu na bado sijapata soko la uhakika
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa walio TANGA natengeneza burger na pizza mda wowote kwa oda utakayotoa..they are very tasty hutajutia ukinunua..
Bei:
Beef burger 3000
Chicken burger 4000
Pizza nyama 7000
Pizza kuku 8000...
Mr. Eggs Shop ni wauzaji wa mayai ya kuku wa kienyeji(kuroiler) kwa ajili ya kula na pia ukitaka kwa ajili ya kutotolesha yanapatikana kwa order.
Bei ya tray moja ni elfu kumi tu(10,000tsh) kwa...