Natafuta soko la mchaichai

Natafuta soko la mchaichai

Mamndenyi

Platinum Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
44,689
Reaction score
64,699
Salamu sana wanajamii wote.

Natafuta mnunuzi wa michaichai. Ni ile ya kiasili. Haijalimwa au kukuzwa na mbolea.

Niko Kibaha Kwa Mfipa

Bei, kila shina ni shilingi elfu mbili.

Kama uko tayari njoo inbox ili nikupe namba zangu.

Karibu sana.
IMG_20170901_183527.jpg
IMG_20170901_183457.jpg
 
Back
Top Bottom