Contact me now for effective design and desirable plus complicated plans.
Tunafika site kwako tunachukua vipimo..halafu tunafanya kazi
Karibu sana
0654919121
0758919121
0622060797
0683928358...
Habari za mapambano wajasiliamali wenzangu. Nimezalisha pilipili mbuzi zakutosha sana, kwa anaehitaji kwa matumizi mbalimbali kama vile chachandu, chill, kuuza kwa walaji wa kawaida wakiwemo...
Wasalaam
Eneo limepimwa lina viwanja kumi, limezungushiwa fansi, kunamabanda ya kuweza fuga kuku 4000 na nyumba ya kuishi wafanyakazi, kisima cha maji kipo. Bwawa la Samaki (halijamaliziwa...
Wandg natumaini mpo salama.
Napangisha nyumba Dodoma mjini eneo Area E brbr ya area D jirani sana na Tanzanite Lodge, ni nyumba yenye mpangilio mzuri waweza kufanya ofisi au makazi, mimi mwenye...
Wakuu poleni na sabato,
Hali inazidi kuwa tete, nauza kiwanja kwa bei ya kutupa. Nauza kwa 5.9m, kina msingi wa kisasa ndani yake. Nipo tayari kuchukua kwa installments
Nawasilisah
Maeneo ninayohitaji ni kimara, Riverside, Mabibo mwisho na Magomeni, isiwe mbali na barabara, iwe ndani ya fence, wapangaji wasiwe wengi, maji umeme viwepo, mwenye nyumba asiwepo hapo.
Budget...
Kama kichwa cha habari kinavyosema nahitaji fundi mwenye uwezo wa kutengeneza band saw kubwa ninasema kubwa maana yangu ni kua ile sehemu linapopita gogo panatakiwa pawe na urefu usiopungua futi 7...
Nauza kiwanja heka moja kipo tabata kinyerezi ukishuka magengeni au sitendi ya zamani kwa dala dala kutoka stendi mpaka kwenye kiwanja ni kilomita 1 au kwa miguu dakika 25 na gari dakika 7 na kuna...
Kwa picha nzuri, maridadi na murua kama hizi. Mwenye kuhitaji mchoraji, au ofisi inahitaji mchoraji ni PM au tuwasiliane kupitia 0659445718.
Mnakaribishwa, ahsanteni!
Viwanja vinauzwa arusha, mahali panaitwa mkonoo.karibu kabisa na barabara inayojengwa ya east africa.karibu na daraja linapojengwa linalotenganisha njiro na mkonoo.bei ni tshs 5,000,000/=size ni...
2017 Christmas is coming ! Are you expecting to take the chance to purchase a desired web hosting package at a low price? If the answer is yes, then you should not miss this collection of the best...
Unga wa mbegu za maboga upo ktk ujazo wa 190gm na 370gm.
Unapatikana kwa bei ya jumla na Reja reja.
Ujazo wa 190gm bei ya Jumla ni Tshs.40000/= kwa 10pc. (kopo ndogo 10)
Ujazo wa 370gm bei ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.