Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Specification kama zinavyoonekana kwenye picha. Imetumika miaka miwili Bei 300K tu 0629992942 kuipata
0 Reactions
0 Replies
441 Views
**Offer offer offer 1. lipia Canal miezi miwili kwa 40,000/= kila mwezi. 2. Utapata wiki mbili za kifurushi EVASION+ Yenye A+ SPORT Channel number 101. Malipo ya kawaida Axcess = 20,000/=...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu nipo serious. Ninatafuta kiwanja chenye ukubwa wa zaidi 1000Sqm maeneo ya Salasala au Goba. Budjet yangu ni 10 to 12M. Kiwanja kisiwe na migogoro na kiwe karibu na barabara kuu. Mwenye nacho...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Husika na kichwa cha habari, nipo Mwanza tafuta Vitz bei mwisho 3.5, itapungua kutokana na hali yake, iwe piston 4 na haina madeni, muuzaji awe mmiliki, ukiwa nayo nipm au weka namba ya simu...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Kiwanja kinauzwa, kipo Tua ngoma masaki, hakipo mbali na stendi mpya ya daladala TUANGOMA , Kipo kipo kwenye flat land unaanza na kujenga tu, wala uhitaji gharama za kusawazisha ardhi, ni kiwanja...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
INAUZWA Harddisk 160GB Ram 4GB Vram 1.3 GB Processor core i5 Graphic Card AMD radeon 320,000/= Maelewano yapo 0625512092 Dar es salaaam.
0 Reactions
2 Replies
581 Views
Habari wakuu natafuta wateja wenye biashara zao au kama unachochote unacho uza. Naweza kukutangazia kwenye website yangu yenye watembeleaji wengi kwa Siku. Hii itakufanya ujulikane haraka na upate...
0 Reactions
3 Replies
705 Views
Kwa anaehitaji bata mzinga,kanga,bata bukin wanapatikana. Wapo wa umri tofautofauti na bei ni maelewano. Tunapatikana KIBAHA KWAMFIPA Mawasiliano:0716666954
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Hii saa bongo inapatikana wap..!?kwa anae fahamu bei
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Hiyo simu iliyotajwa lumia 535 brandnew inapatikana kwa bei gani?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
For ANY APP, in your own brand name.... (Mobile & Web) At an affordable price !! Visit or Contact at our office to give us your requirements; Nyegezi, Kuzenza Street, P.O.Box 4127 Mwanza...
0 Reactions
2 Replies
567 Views
Wadau nauza shade mita 4kwa 6 fund alizidsha vipimo hivyo limebakia kubwa sana. Unaweza litumia kwa ajili ya car parking au sehemu ya kupumzika ni nzur sana. 0713401812
1 Reactions
16 Replies
5K Views
Mkaa mzuri usio sumbua unapatikana njombe .
1 Reactions
3 Replies
739 Views
La saba ila huwa una kiinglish kikali sana mkuu!![emoji53][emoji53][emoji53] I love Miss Natafuta
1 Reactions
2 Replies
684 Views
Kwa wwnye mahitaji ya mirunda nawaklibisha mirunda inapatikan kwa inch 4@3800 na ya inch 3@3500 mzigo upo wa kutosha mnakaribiahwa kwa mawasiliano 0715426668 pia na whatsap
0 Reactions
2 Replies
6K Views
habari inajieleza hapo juu.maeneo nayopendelea ni kuanzia tazara mpaka taifa,chang'ombe pia sawa ila inategemea.isiwe mbali na mandela road.niwe nalipa miezi mitatu mitatu.chumba na sebule kizuri...
0 Reactions
4 Replies
781 Views
Fundi gypsum selling design, call Au whatsap 0718888212 0625577106
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimeshapata
0 Reactions
1 Replies
529 Views
Back
Top Bottom