**Offer offer offer
1. lipia Canal miezi miwili kwa 40,000/= kila mwezi.
2. Utapata wiki mbili za kifurushi EVASION+ Yenye A+ SPORT Channel number 101.
Malipo ya kawaida
Axcess = 20,000/=...
Wakuu nipo serious.
Ninatafuta kiwanja chenye ukubwa wa zaidi 1000Sqm maeneo ya Salasala au Goba.
Budjet yangu ni 10 to 12M. Kiwanja kisiwe na migogoro na kiwe karibu na barabara kuu.
Mwenye nacho...
Husika na kichwa cha habari, nipo Mwanza tafuta Vitz bei mwisho 3.5, itapungua kutokana na hali yake, iwe piston 4 na haina madeni, muuzaji awe mmiliki, ukiwa nayo nipm au weka namba ya simu...
Kiwanja kinauzwa, kipo Tua ngoma masaki, hakipo mbali na stendi mpya ya daladala TUANGOMA , Kipo kipo kwenye flat land unaanza na kujenga tu, wala uhitaji gharama za kusawazisha ardhi, ni kiwanja...
Habari wakuu natafuta wateja wenye biashara zao au kama unachochote unacho uza. Naweza kukutangazia kwenye website yangu yenye watembeleaji wengi kwa Siku.
Hii itakufanya ujulikane haraka na upate...
Kwa anaehitaji bata mzinga,kanga,bata bukin wanapatikana.
Wapo wa umri tofautofauti na bei ni maelewano.
Tunapatikana KIBAHA KWAMFIPA
Mawasiliano:0716666954
For ANY APP, in your own brand name....
(Mobile & Web)
At an affordable price !!
Visit or Contact at our office to give us your requirements;
Nyegezi, Kuzenza Street,
P.O.Box 4127
Mwanza...
Wadau nauza shade mita 4kwa 6 fund alizidsha vipimo hivyo limebakia kubwa sana. Unaweza litumia kwa ajili ya car parking au sehemu ya kupumzika ni nzur sana. 0713401812
Kwa wwnye mahitaji ya mirunda nawaklibisha mirunda inapatikan kwa inch 4@3800 na ya inch 3@3500 mzigo upo wa kutosha mnakaribiahwa kwa mawasiliano 0715426668 pia na whatsap
habari inajieleza hapo juu.maeneo nayopendelea ni kuanzia tazara mpaka taifa,chang'ombe pia sawa ila inategemea.isiwe mbali na mandela road.niwe nalipa miezi mitatu mitatu.chumba na sebule kizuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.