Nataka kuuza Kiwanja kisa madeni, nifanyeje?

Nataka kuuza Kiwanja kisa madeni, nifanyeje?

Cryptopotato

Member
Joined
Dec 19, 2017
Posts
53
Reaction score
71
Jamni nataka kuuza kiwanja kisa madeni,nifanyaje?

ENEO ; kinyerez kituo kinaitwa garage karibu na flamingo bar. Karibu na barabara.
UKUBWA ; 1145sqm.
BEI ; 68mill maelewano yapo
DALALI ; mgao 5% ya mauzo.
 

Attachments

  • 20151103_124019.jpg
    20151103_124019.jpg
    263.5 KB · Views: 51
Mkuu, Vipi kina hati miliki?
Je, kimepimwa?

Urefu uko vizuri Vipi kuhusu upana ni kutoka fance hadi fance ya nyumba ya pili au?

Mkuu, naomba unijibu tafadhali.
 
milion 68 na hapo ni una dharura ya madeni.. je ungekuwa hauna dharura ungeuza bei gani?
 
Subiri tule kwanza Christmas na mwaka mpya
 
Mkuu, Vipi kina hati miliki?
Je, kimepimwa?

Urefu uko vizuri Vipi kuhusu upana ni kutoka fance hadi fance ya nyumba ya pili au?

Mkuu, naomba unijibu tafadhali.

Kina hati miliki mkuu,kama unavyoona mpaka ni ukuta kwa ukuta nieneo zuri sana karibu sana na barabara ya lami ya kwenda kinyerezi primary
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom