Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wanajamii nahitaji gari ndogo yenye engine chini au sawa na cc1500, vvti , Toyota zaidi, namba sio ishu ila iwe katika hali nzuri, passo hapana, premio, fielder, ist , raum, spacio sawa...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Salaam wanajukwaa..!niende moja kwa moja kwenye mada, nina IPHONE 5c 32GB haina tatizo lolote... Nahitaji IPhone 6 and above NITAONGEZEA pesa kulingana na simu yako...
0 Reactions
0 Replies
590 Views
Mambo vp wadau wa hili jukwaa pendwa.. Kwa wale wote mlioko Masasi town, naomba kufahamishwa bei ya Tecno W4 new in shop. Thanks
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamni nataka kuuza kiwanja kisa madeni,nifanyaje? ENEO ; kinyerez kituo kinaitwa garage karibu na flamingo bar. Karibu na barabara. UKUBWA ; 1145sqm. BEI ; 68mill maelewano yapo DALALI ; mgao 5%...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Ni King'amuzi cha Azam tv kikiwa kimekamilika kila kitu. bei ni kama nilivytaja hapo juu, haipungui hata senti, nipo Goba.
1 Reactions
37 Replies
4K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema, Nauza hiyo simu ni yangu na nipo Mwanza kona ya Bwiru. Bei 350000/. Haina tatizo lolote . Nicheki 0767253265
0 Reactions
4 Replies
4K Views
SHIMO KWENYE JINO (CAVITY) JE, Umeshawahi kusikia kuhusu mtu kwenda kujazwa risasi katika jino? Unafikiri kwanini jino lijazwe risasi? Nini kimetokea? . Ngoja nikwambie kitu.. SHIMO katika jino...
1 Reactions
3 Replies
11K Views
Salamu wakuu, Mimi ni mkulima wa mahindi, nina tani 34 za mahindi na napatikana dar es salaam. Kilo nauza kwa sh.650. Napatikana dar es salaam. Ukihitaji ni pm tumalize biashara. Karibuni wakuu I...
0 Reactions
1 Replies
869 Views
Natafuta mlango wa nyuma kwenye buti Kama unao nipigie au tuma sms 0755229343
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama unayo laptop hiyo tufanye biashara chap 0715812160 call/sms/whatsapp
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Habari wanajamvi... Natafuta mtu mwenye mashine ya kutotolesha mayai ya bata.. Nipo Dar-es-salaam Namba ya simu 0712138156 Anicheki humu au ani-pm
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu kama title inavosema, soon kuanzia mwez wa kwanza nahamia Temeke.Natafuta chumba Sifa za chumba: kiwe self, tiles, gypsum,
0 Reactions
13 Replies
918 Views
Bei maelewano njoo 0620436634
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari zenu wanaJF? Nilikuwa nauliza kama kuna mtu anauza simu used aina ya Nokia ya tochi a.k.a Obama anichek pm Napoishi:Buza Kanisani Bei ya simu iwe kuanzia 10,000/= hadi 12,000/= Asanteni
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Mwenye kuuza line za tigo pesa aniPM tafadhari nahitaji
0 Reactions
5 Replies
861 Views
Jamani wana JF nani anafahamu vizuri soko la muhogo yani nauzia wapi nasikia kuna sehemu wanauza kwa wingi zaidi wa kusafilisha nje ya nchi msaada pliz
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu. Poleni kwa maandalizi ya sikuu ya christmass na mwaka mpya. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi nipo mbeya sasa nimevutiwa na biashara hii ya nguo za watoto pamoja na...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu wa JF poleni kwa majukum ya kazi ...mimi ni binti ninaitwa NEEMA ambaye baada ya kuhangaika kupata ajira vikwazo vikawa vingi nimeamua nifungue kampuni yangu ya USAFI kwa...
1 Reactions
35 Replies
10K Views
Natafuta kibanda/frame ndogo maeneo ya kariakoo kwa biashara ya Tigo Pesa. PM kama wewe ni dalali
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…