Contact me now for effective design and desirable plus complicated plans.
Tunafika site kwako tunachukua vipimo..halafu tunafanya kazi
Karibu sana
0654919121
0758919121
0622060797
0683928358...
Napenda kuwatangazia wateja/wanunuzi wa viazi mviringo kutoka pande zote za Tanzania na nje ya nchi kwamba ninauza viazi kwa bei nafuu sana.
KIASI AU UKUBWA WA ENEO
Viazi bado viko shambani yaani...
Kwa walio maeneo husika na kama wanajihusisha na uuzaji wa bidhaa za akina mama kama nguo, viatu, SAA, mikoba nk. najumlisha bidhaa za aina hiyo baada ya kufunga DUKA kwa sababu ya kukosa...
Kutokana na mawazo ya watu wengi na kuamasishwa na clouds tv nikaamua kufanyia kazi mawazo yao yakutafta fursa
Niliamua kuingia kwenye kilimo cha kitunguu pamoja Changamoto nyingi nimekutana...
Habari, kwa wale wapenzi wa games ninazo play stations 2 pieces 2 zikiwa chipped kwa maana ya kuwa hutahitaji kutumia cd Ila utapata flash yenye games 10 zikiwemo FIFA nk.
Ukitaka kutumia cd hiyo...
Wakuu nahitaji mashine tajwa hapo juu, mwenye nayo au anayejua zinapopatikana anisaidie pls, nahitaj inayotumia UMEME.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jamaa alianzia uzi kipindi furani kua kama umenunua bidhaa na muuzaji hafanyi shipping tz unaweza kuituma bidhaa hiyo kwao then wakakutumia.
Anaejua link ya ule uzi tafadhali naiomba hapa.
Habari, wapendwa kati ya Nairobi na Uganda ni wapi naweza kupata pochi za mtumba zile grade A, nahitaji kuanza kufanya biashara hiyo, nahitaji mawazo yenu
Hyy wakuu
Kwa wale watumiaji wrote wa line za chuo za Airtel naomba kufahamishwa offer zipi au vifurushi vipi viruri vinavyopatikana huko..
kuanzia dakika hadi mb(internet)
Nawasilisha.
Habari zenu ndugu zangu wapendwa..
Nina ndugu yangu anauza gari hii pichani. Ni mpya kabisa. Bei Tshs. Milioni 60 tu.
Karibu kwa mawasiliano (namba ya muuzaji): 0655 162 686.
Mnaweza kucheki...
Nyumba ya kupanga ipo Arusha ni bei poa ina vyumba viwili, sebule, jiko choo bafu na store kodi ni shilingi laki mbili na nusu (250,000/=) kwa mawasiliano zaidi piga 0653954094
Bi Celine Ngahunga alitangazwa na majaji kuwa mshindi nambari moja katika kutengeneza keki zenye Ladha Bora katika maonyesho ya ‘’Azam Cakes and Breads Expo 2017” yaliyofanyika tarehe 17 December...
Umejiandaaje kwa mtoko wa SIKUKUU?
- Je mpaka leo bado unavaa mabati?
- Acha kuvaa mabati vaa SILVER ORIGINAL
- Tunauza kwa gram 1 shilingi 6,000
- Bracelet ni gram 50 inaenda kwa shilingi...
Habari.
Nauza kiwanja kipo msakuzi karibu na makabe
-ukubwa ni square meters 400(20 kwa 20)
-kipo eneo tambarare sio bondeni ni barabarani unaweza weka frames kwa mbele
-Hakina hati bado, ila ndo...
Tecno camon c7 for sale bei tsh.180,000
Iko katika clean condition, haina tatizo
Back camera 13mp
Front camera 13mp
Ram 2gb
Storage 16gb
Unapewa na charger na cover
Contacts: 0677888412...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.