Natafuta tecno Y3+

Natafuta tecno Y3+

Hammy Js

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2017
Posts
3,053
Reaction score
3,271
Habari
Anayeuza tecno Y3+ naomba ajitokeze,anipe bei na picha tufanye biashara.
Note: isiwe imetumika zaidi ya mwaka,iwe ktk hali nzuri
 
Habari
Anayeuza tecno Y3+ naomba ajitokeze,anipe bei na picha tufanye biashara.
Note: isiwe imetumika zaidi ya mwaka,iwe ktk hali nzuri
Nipe 75000
Mpya haijawahi tumiwa
ya tigo ila imeflashiwa inatumia laini zote
 
Nipe 75000
Mpya haijawahi tumiwa
ya tigo ila imeflashiwa inatumia laini zote
Bei yako ipo fresh sema hizi flashed kuna muda huwa zinasumbua..ninayo Vodafone niliiflash baada ya muda ikawa haisomi laini kabisa
 
Mkuu nina hiyo tu ...dukani nimetafuta kwa hiyo bei nimekosa,nimekuta masimu ya kichina nimeachana nayo
Fanya 70 mkuu ndo bei ya mwisho..Simu bado mpya haina hata miezi mitatu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom