Wadau kama mada inavosema soon mm nahamia Temeke, mwenye access na vyumba maeneo hayo anisaidie,
Sifa za chumba:
1.Kiwe self
2.gypsum na tiles
3.Ikiwezakana isiwe changanyiken sana...
Habari zenu wanaJF?
Nilikuwa nauliza kama kuna mtu anauza simu used aina ya Nokia ya tochi a.k.a Obama anichek pm
Napoishi:Buza Kanisani
Bei ya simu iwe kuanzia 10,000/= hadi 12,000/=
Asanteni
Kama unahitaji bank account uingereza (UK)... Itakayokuwezesha kutuma na kupokea hela kutoka nje nicheki Call/whatsapp 0624132227
Bei: Tsh. 50,000
Utapata MasterCard ya Atm.
Having Problems to...
Habari wanajamii nahitaji gari ndogo yenye engine chini au sawa na cc1500, vvti , Toyota zaidi, namba sio ishu ila iwe katika hali nzuri, passo hapana, premio, fielder, ist , raum, spacio sawa...
Salaam wanajukwaa..!niende moja kwa moja kwenye mada, nina IPHONE 5c 32GB haina tatizo lolote...
Nahitaji IPhone 6 and above NITAONGEZEA pesa kulingana na simu yako...
Jamni nataka kuuza kiwanja kisa madeni,nifanyaje?
ENEO ; kinyerez kituo kinaitwa garage karibu na flamingo bar. Karibu na barabara.
UKUBWA ; 1145sqm.
BEI ; 68mill maelewano yapo
DALALI ; mgao 5%...
SHIMO KWENYE JINO (CAVITY)
JE, Umeshawahi kusikia kuhusu mtu kwenda kujazwa risasi katika jino?
Unafikiri kwanini jino lijazwe risasi? Nini kimetokea?
.
Ngoja nikwambie kitu..
SHIMO katika jino...
Salamu wakuu,
Mimi ni mkulima wa mahindi, nina tani 34 za mahindi na napatikana dar es salaam.
Kilo nauza kwa sh.650.
Napatikana dar es salaam. Ukihitaji ni pm tumalize biashara.
Karibuni wakuu
I...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.