Nauza mbwa wa wadogo wa ndani pets dog wamezaliwa watano wadume wanne na majike wawili toa order mapemmama yao huyu baba yao watoto bei ni laki tatu na nusu .mawasiliano 0719708708
Ninauza dawa ya kusafisha na kung'arisha tiles/ vigae pamoja na masinki vyoo na masinki ya kunawia mikono. Lita 1 ninauza Tsh 5000. Dar nakuletea popote ulipo lakini mikoani utatumiwa.
Kwa...
Tunauza simu mpya na free delivery kwenda sehemu yeyote Tanzania.
Offer kwa ajili ya sikuku, Samsung S6 plain 32gb Gold.
Duka limebobea ktk samsung na iPhone simu na accessories tu.
Weka maelezo yafutayo:
1.Mahali nyumba ilipo kwa maana ya mtaa wilaya
2. Ukubwa wa nyumba na eneo la kiwanja.
3. Huduma muhimu zilizopo i.e maji na umeme...
vyuma vya mazoezi: kuna dumbeli zake za kg 20- 2 na kilo 10-2. na benchi lake
benchi lake - 120,000/=
vyuma vyote- 80,000/=
benchi maalum la mazoezi ya mgongo 120,000/= mwisho 100,000/=
simu...
Ndg zangu natafuta Kazi yeyote nimesomea ualimu (Physics and Mathematics) ila natafta kazi yyte hata kama sio ya ualimu. NATANGULIZA SHUKRANI. 0624416484
Mini ni mjasiliamali nipo Morogoro mjini, ninajishughulisha na biashara ya electronics kama vile computer, laptop, tv, radio, friji nk, nina frem ambayo naimiliki kihalali kabisa kwenye jengo la...
Wakuu habari zenu napenda kuwasilisha mada yangu hapo juu naomba mwenyeji wa morogoro hususani kwenye ardhi yenye rutuba anitaftie shamba la kulima mwenye eneo au anaepafahamu vizuri morogoro...
Pata tovuti kwa bei nafuu + Free hosting +free domain kwa mwaka mmoja.
Kwa maelezo zaidi ingia katika tovuti yetu www.fauluhost.co.tz au piga namba 0758489386.
Hi wana Jf natumaini mmeamka salama na kufurahia mwaka mpya na malengo mapya 2018.
Kiufupi Mimi ni mwandishi chipukizi wa vitabu nilianza kuipenda fani hii tangu nikiwa mdogo.
Mwaka 2004 mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.