Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu poleni na sabato, Hali inazidi kuwa tete, nauza kiwanja kwa bei ya kutupa. Nauza kwa 5.9m, kina msingi wa kisasa ndani yake. Nipo tayari kuchukua kwa installments Nawasilisah
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Maeneo ninayohitaji ni kimara, Riverside, Mabibo mwisho na Magomeni, isiwe mbali na barabara, iwe ndani ya fence, wapangaji wasiwe wengi, maji umeme viwepo, mwenye nyumba asiwepo hapo. Budget...
0 Reactions
2 Replies
775 Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema nahitaji fundi mwenye uwezo wa kutengeneza band saw kubwa ninasema kubwa maana yangu ni kua ile sehemu linapopita gogo panatakiwa pawe na urefu usiopungua futi 7...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
12000 utapendeza kwa viatu vizuri vya culture
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari wakuu natafuta fundi simu anayeweza kunibadilishia mashine kwenye lumia yangu 920 awe anatokea dar anicheck kwa no 0784843475
0 Reactions
0 Replies
989 Views
mambo vp wana if,naitaji izo game tajwa apo mwenye nazo au nayo aje inbox
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Nauza kiwanja heka moja kipo tabata kinyerezi ukishuka magengeni au sitendi ya zamani kwa dala dala kutoka stendi mpaka kwenye kiwanja ni kilomita 1 au kwa miguu dakika 25 na gari dakika 7 na kuna...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wakuu. Nahitaji moja kati ya mashine hizo hapo juu, mie niko Dar Es Salaa. Kama unayo njoo PM ama weka namba yako nikupigie. Bei tutaongea
0 Reactions
1 Replies
964 Views
Naulizia bei ya Noah Kwa kununulia yard za Dar
0 Reactions
12 Replies
8K Views
Kwa picha nzuri, maridadi na murua kama hizi. Mwenye kuhitaji mchoraji, au ofisi inahitaji mchoraji ni PM au tuwasiliane kupitia 0659445718. Mnakaribishwa, ahsanteni!
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Viwanja vinauzwa arusha, mahali panaitwa mkonoo.karibu kabisa na barabara inayojengwa ya east africa.karibu na daraja linapojengwa linalotenganisha njiro na mkonoo.bei ni tshs 5,000,000/=size ni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
2017 Christmas is coming ! Are you expecting to take the chance to purchase a desired web hosting package at a low price? If the answer is yes, then you should not miss this collection of the best...
0 Reactions
0 Replies
811 Views
Kitanda kipo Tegeta Kibaoni karibu kabisa na Kibo complex.Bei ni 160,000 tu,maelewano yapo. 0714-796778 au whatsapp 0628-615685
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Unga wa mbegu za maboga upo ktk ujazo wa 190gm na 370gm. Unapatikana kwa bei ya jumla na Reja reja. Ujazo wa 190gm bei ya Jumla ni Tshs.40000/= kwa 10pc. (kopo ndogo 10) Ujazo wa 370gm bei ya...
1 Reactions
0 Replies
5K Views
Acer minilaptop for sale Bei 280k Ram 2GB Storage 300GB Baterry life: 3 hours Call 0629992942
1 Reactions
2 Replies
591 Views
Habari wadau Natafuta kuku wa kienyeji pure watatu wenye uwezo wa kutaga na kuatamia mayai. Napatikana Ubungo external Mwenye nao ajitokeze tafadhali
0 Reactions
0 Replies
582 Views
Sikukuu hiyo apo inanukia na wewe lazima unukie Nina pefyum mbili hizi ni original nauza kwa bei ya kutupa sababu mwaka unaisha huu. 30,000 kila moja hapo Napatikana dar es salaam 0675206637
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wakuu mwenye uelewa naomba kujuzwa,kuna kaka yangu yupo nchi jiran ya malawi anafanya biashara ya kuuza nafaka,sasa kule soya inapatikana kwa wingi kwahio sahv ameniambia nimuulizie huku sehemu...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Abroad Connected Education Ltd,is an overseas agency company,fully registered in the united republic of Tanzania with the motives of shorten the Time,Process& COST,involved for someone wishing to...
0 Reactions
2 Replies
943 Views
GARI ILIUZWA
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom