Habari Wakuu!
Kutokana na kudorola kwa biashara, Nimeamua kufunga Stationary! Kuna items ambazo zimebaki na ningependa kuziuza kabla ya kufunga!
Nina Canon C-EXV33 Tonner 6 for imageRUNNER...
Habari wakuu.
Tumeshuhudia kupata mtaji fedha imekuwa changamoto kubwa. Lakini pia, hakuna njia ya kuukuza mtaji kama hujawekeza kwenye mradi wowote. Hivyo Sisi Drones Online Ads tumekuwa kwa muda...
Offer offer offer!
Samsung s7 earphones original zinapatikana dodoma na dar es salaam. Mkoani unatumia kuanzia 20pcs
Bei 5500/=
Call 0753063142/0653316087/0687418839
Whatsapp 0687418839
Wadau kama kichwa cha habari kinavyojieleza
Nina 2plates mashine ya kuprint picha/kuweka picha kwenye nguo kama T-shirt n.Ni kubwa industrial machine ina sahani 2 ambazo unaweza kufanya kazi...
Wanajamvi habari zenu polen na majukumu,naomba msaada kwa anaejua bei ya mashine ya kufyatulia tofali za aina zote zile za manual,diesel au umeme anisaidie na zinapopatikana tafadhari.
Bwana Yesu asifiwe na asalaam aleykum watu wa Mungu,
Nipo hapa uwanjani naomba kujuzwa kama kuna mtu anauza speaker used kwa bei nzuri. Nahitaji kwa lengo la Injili, iwe moja ukubwa wa kuhudumia...
Wakuu liko shamba linauzwa, karibu na Mandela University; Kikwe village, ¾ acres land, Village Pipe of water,Open furrow water, Grid Electricity poles 1.5 kms, 300 mts from the main road, 200 mts...
Kabati Na top hapo nipo mbagala mbande top 120000/ Kabati laki mbili Na nusu vioo vya shelf ya kat vimevunjika mdau anaweza anaweza kuweka vingine mamba ni 0656560824
habarini wadau, kama kichwa kinavyo jieleza, nahitaji kufanya biashara ya kuchukua mzigo wa rasta kiwandani na kupeleka mikoani nikauze kwa bei ya jumla, kama kuna mtu anafahamu utaratibu wa...
Za leo wakuu, Mimi ni mjasiriamali nipo dodoma,ninataka kufungua kiwanda kidogo cha kutengeneza furniture za kisasa lakini sina uzoefu wowote,,,,nataka kijana anayejua kutengeneza sofa za...