ustadhijuma
JF-Expert Member
- Jul 20, 2015
- 3,133
- 2,118
Deleted
Nyufa nyingi sana mkuu punguza beinyumba ya viumba vi3 mbele ina fremu ya biashara iliyokamili kwa biashara na kiwanja kikubwa chakutoa nyumba kubwa vinauzwa kwa pamoja kwa thamani ya sh 13million...Tunauza kwa bei hiyo kutokana na vyuma kukaza...Muhusika ni mimi mwenyewe mwenye kuhitaji
weka picha hapa hapa tuone kama sina whatsappnyumba ya viumba vi3 mbele ina fremu ya biashara iliyokamili kwa biashara na kiwanja kikubwa chakutoa nyumba kubwa vinauzwa kwa pamoja kwa thamani ya sh 13million...Tunauza kwa bei hiyo kutokana na vyuma kukaza...Muhusika ni mimi wenyewe mwenye kuhitaji awasiliane nami kwa namba 0625474614 nitakuonyesha picha zote kwa whatsap!
NB:huku vyumba vya kupangisha ni dili hivyo ukijenga vyumba ukapangisha pia utaingiza pesa then nyumba ipo karibu sana na barabara hivyo gari inaweza kuingia mojakwamoja mpk ndani
ENEO HILI NI MAJOHE KWA NGOZOMA YAANI MAJOHE MJINI
Mm pia nilikuwa na swali kama hili,ina maana yeye hataki kupata faida za kupangisha!??haha au kaamua arudi shamba tuu......maybe....!!!Kama kupangisha huko uliko ni dili kwa nini usiipangishe!?
Huyu kama siyo tapeli basi anauza nyumba ya urithi! Maana haingii akilini!!Mm pia nilikuwa na swali kama hili,ina maana yeye hataki kupata faida za kupangisha!??haha au kaamua arudi shamba tuu......maybe....!!!
Hahhaaa kabisaaa,.haiwezekani sehemu yenye faida na vitega uchumi uuze kwa bei hiyo,halafu ww mwenyewe hata haikupi shida,kuna walakini hapo.Huyu kama siyo tapeli basi anauza nyumba ya urithi! Maana haingii akilini!!
Tatizo wabongo hatupendi ukweli, unaambiwa ukweli unaanza kutafuta sympathy. Kama eneo ni zuri kwa kupangisha ni vema ufanye hivyo kuliko kuuza. Periodhunchback Dharau hazifai kabisa Leo kwa huyu kesho kwako!! Hata omba omba pia anatamani maisha kama yako jitahidi umsaidie na si kumdharirisha....Mola akuswamehe