Radio
Spika
Majiko
Feni
Taa
Pasi
Ulizia kitu ambacho hujakiona hapo, bei zilizobqmdikwa ni za jumla ukitaka 1 utaongeza pesa kidogo tu.
Karibuni sana 0625547181
Habari zenu wakuu. Natafuta mashine ya kupigia matofali ya interlocking. Vile vile kama kuna mtu anafahamu bei zake naomba anifahamishe.
Nawatakia siku njema.
kama tangazo linavyoonesha mwenye kuuza Mac Book pro I core 7 ,iliyo katika hali nzuri
anitafute bei iwe nzuri awe 4GB RAM ,HDD 500
Ahsante nawasilisha
Habari wanajamvi nadhan ntakua sijakosea kuleta huu Uzi huku ila kama nmekosea basi modes mtanisaidia kupeleja sehemu husika. Mimi ni muhandishi wa vitabu chipukizi. Kwakushirikana na waandishi...
Habari,
Natafuta Dell Latitude E7270 iwe ni mpya au mtumba naomba uweke specification za chombo hicho ulichonacho (Dell tajwa), bei na eneo na Mawasiliana.
Mie nipo Morogoro.
asante.
Habarini ndugu wapendwa,kama mwana jf nimekua nikisikitika na kustaajabika sana kwa hii biashara ya simu za mikononi humu Jf
Wengi wamekua ni matapeli na kuwauzia watu simu mbovu kwa kisingizio...
Tunauza na kubandika wallpapers majumbani, ofisini, cafè, dukani, saloon, etc wallpaper zetu ni za materials za hali ya juu (grade 1) ngumu ambazo zinakaa miaka 8 na kuendelea.
Tuna design nyingi...
Nahitaji kupata Vijana wa kitanzania wajasiriamali 5 tu walio very serious, niwape fursa ya kujiunga na mtandao wetu wa Young social entrepreneurs network mtandao huu ulikuwa na watu 10 tu. kwa...
Tunazo tv za kila aina na size zote zipo
Tunapatikana kkoo msimbaz na China Plaza FL ya pili ukiagza tunakuletea ulipo mda wowote sisi ni huduma kwanza malipo baadae free delivery boss led tv...
Habari!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza! Inahitajika Ofisi yenye uwezo wa ku-accomodate watu 30+ na eneo la Warehouse (Godown).. Viwe sehemu moja! Mitaa pendekezi ni kuanzia Mikocheni hadi...
Wadau nauza suzuki swift ikiwa katika hali nzuri sana gari ina ac inayofanya kazi zr...baridi kama uko urusi engine haijawahi kufunguliwa automatic gear milango mitano
km 121,300 haijawahi kupata...
Nauza samsung galaxy j7 prime simu sawa na mpya cjaitumia sanaa..
Internal storage yake ni 32 gb.
Ipo poa kila kitu..
Bei 400000..
Finger print sensor pia ipo vizuri kabisa
Nichek kwa izi namba...
Tunazo bakery machines kuanzia tray moja mpaka tray nne za umeme na za gase
Tunapatikana kkoo msimbaz na China Plaza FL ya pili ukiagza tunakuletea ulipo mda wowote sisi ni huduma kwanza malipo...
Paua na jmk royal services
Agent wamabati ya sunshare(agent noA-002)VIP,quansheing,Anxifa bati kwa price list ya kiwanda.
huduma tutoazo kwa wateja wetu.
-Bati za aina zote kwa price list ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.