Mashine ya tofali

Mashine ya tofali

FRELIMO

Member
Joined
Apr 12, 2014
Posts
42
Reaction score
4
Wanajamvi habari zenu polen na majukumu,naomba msaada kwa anaejua bei ya mashine ya kufyatulia tofali za aina zote zile za manual,diesel au umeme anisaidie na zinapopatikana tafadhari.
 
Nafikiri kama hukunielewa hv maana jibu bado halijajitosheleza
AINA GANI?
BEI GANI?
MAENEO ZINAPOPATIKANA
 
Nafikiri kama hukunielewa hv maana jibu bado halijajitosheleza
AINA GANI?
BEI GANI?
MAENEO ZINAPOPATIKANA

nenda sido,au mwenge pale kalibu na jkt wanatengeneza,
 
Mashine zinazozungumziwa hapa ni zipi?

Zakawaida? Au

Interlocking bricks machine?
Fafanua hapo kidogo mkuu ili usaidike kiurahisi FRELIMO
 
Last edited by a moderator:
Mashine zinazozungumziwa hapa ni zipi?

Zakawaida? Au

Interlocking bricks machine?
Fafanua hapo kidogo mkuu ili usaidike kiurahisi FRELIMO

ndugu siwezi fafanua coz hata hiyo interlocking bricks siijui na pia sijui tofauti yake na zile za kawaida naami unaweza nisaidia ufahamu wa hiyo kitu,but its better to know the price of both
 
Last edited by a moderator:
aksante sana kaka so if pocble naomba contacts za hao jamaa maana kwa sasa niko mkoani

mim sipo karibu nao sana ila huwa ninapopita huwa naziona pia wanauza hadi mashine za kuchanganyia mchanga na siment,ila kama unataka mashine zile za kutumia nguvu zipo hadi za laki 200000,
 
Wanajamvi habari zenu polen na majukumu,naomba msaada kwa anaejua bei ya mashine ya kufyatulia tofali za aina zote zile za manual,diesel au umeme anisaidie na zinapopatikana tafadhari.

Cheki hapa zipo kibao, chagua unazotaka
1. Hapa
2. Hapa
3. Hapa
4. hapa
 
ndugu siwezi fafanua coz hata hiyo interlocking bricks siijui na pia sijui tofauti yake na zile za kawaida naami unaweza nisaidia ufahamu wa hiyo kitu,but its better to know the price of both


Masine zipo zinazotengeneza matofali udongo wa mfinyanzi (Clay Bricks) au cement. Inabidi ueleze na matofali gani unataka kutengeneza.

Matofali ya cement yapo ya aina nyingi sana kama vile matofali makubwa (blocks) na madogo. Kuna aina nyingi za matofali madogo mojawapo ikiwa ni "interlocking bricks".

Huenda inabidi ufanye utafiti kidogo
 
Kama unajua mashine yoyoye ya tofali na bei yake weka hadharani. Acha kuendelea kuuliza. Mwishowe utauliza ya nchi nne, tano, au sita.
 
JIPATIE MASHINE YA UMEME VIBRATOR NAIUZA 1.7MIL NI MPYA KABISA 0762612213 IPO DAR KARIBUNI SANA
 
Mkuu mashine za vibrating blocks na mixer zake ninazo. Ni bora kabisa piga kwa simu yangu 0625587734 au nipe namba yako tufanye biashara
Habari mkuu,hizi mashine unazo za mkono au vibrated?na ya kuchanganya mchanga na cement pia unazo?naomba ni pm specification zake na bei.
uuuu
 
Naomba kuelekezwa hawa watu wa SIDO. wako wapi ,I mean office
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom