Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wana jf kwa yeyote mwenye uelewa kuhusu dawa ya kupulizia shambani kuua magugu naomba anijuze. Ni dawa aina gani inafaa kutumika (kwenye shamba linalotarajiwa kupandwa legumes), kiwango cha...
0 Reactions
7 Replies
14K Views
niaje... specs.. screen: 3.5 inche camera: back: 5 megapixel front: 0.3 megapixel os : android 4.2 white in colour.. bei: 120000 mawasiliano:0765050591
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Moja ya mambo muhimu katika ukuwaji wa biashara ni utunzaji makini wa kumbukumbu za biashara yako, kuanzia mauzo, matumizi, taarifa za stock uliyonayo, taarifa za madeni ya wateja, na repoti...
0 Reactions
0 Replies
681 Views
Tahadhari sitaki gari za mikoani, sitaki vigari vyenu vya kiboya hivi sijui vits,staret,paso, pote, sijui takataka gani nataka gari kidogo yenye ahueni na inayoweza kusafiri. Namba siyo issue ila...
3 Reactions
87 Replies
9K Views
PASI YA KISASA KABISA WARRANT MWAKA MMOJA BEI:50000 MICROWAVE OVEN Tsh :200,000 Contact :0714417739 /0763251378 /"]www.jamiiforums.com/mobile-gallery/c46077d8140667ecfa88c9657cd55c2a.jpg[/IMG]
0 Reactions
0 Replies
784 Views
Kama tangazo lilivyo kama una huo mzigo njoo hapa tufanye biashara Kwa bei nafuu sio bei ya dukani tena Iwe katika hali nzuri Nipo dar
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wana Jf. Natafuta nyumba ya kupanga maeneo yafuatayo -Kimara -Mbezi zote -Africana mpaka bunju -Goba Budget yangu maximum ni 250,000/= Mwenye nyumba maeneo hayo aje Pm yutajenge.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
SOLD
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Habari zenu wajasiriamali. Natafuta chain saw ya kukodisha kwaajili ya kukatia miti shambani kwangu. Nipo dar lkn nitafanyia kazi ya kukata miti Mkata, Handeni Tanga. Kwa anaeweza kuniuzia pia...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wadau wajf. Kama kuna boss yeyote au unamfahamu mtu mwenye bajaji ya kazi nahitaji ili nifanye kazi nipo full nikiwa na leseni na mzoefu wa hii kazi. Nawakirisha
0 Reactions
2 Replies
668 Views
Wakuu habari zenu ,nina milion 3 natafuta gari ndogo ya kukatia msele hapa mjini Msaada please
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Ipo Bagamoyo mjini, mita 100 kutoka round about kama unaelekea Ruvu na imefec lami..bei Tsh 550ml Kwa maelezo zaidi au kuja kuona wasiliana nami kwa 0756060183
0 Reactions
1 Replies
955 Views
Inahitajika RAV 4 ya kuanzia mwaka 2006 mpaka 2008 alimaarufu miss tz. 1. Bajeti milioni 15 - 18. 2. Km zisizidi 90,000. 3. Namba kuanzia D hata C iliyo bomba itafikiriwa. 4. Isiwe imepata ajali...
0 Reactions
19 Replies
6K Views
Nashida na TVS,PLATINA,DUMA,BOXER na aina zingne ambazo ni simple kwa ajili ya matembezi iwe kwenye hali nzuri burget ni lak 7 to 1 mil inategemea na chombo nipo temeke dsm(wailes) nichk 0718163740
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Nilikuwa nahitaji Strawberry kama box moja hivi wapi naweza kupata kwa bei nzuri? natanguliza shukrani wakuuu.
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Naam tumemaliza salama lakini niwataarifu na niwaombe muhudhurie katika Dua itakayofanyika jumamosi hii ya tarehe 20/01/2018 ufanye huu mwaka kuwa ni mwaka wa mafanikio kwako kwa kutaka radhi...
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Jamani natafuta MTU anayeuza laptops za mtumba kwa being ya jumla.Nataka kuanzia 15-30.. Pm namba yako plz au weka hapa Nina LA ofisi na namba ya simu...thank u!
0 Reactions
2 Replies
702 Views
Brand LGP size 32 inches Ina hdmi port 3, vga port 1, usb port 1, avi n.k Haina remote nimepoteza wakati nahama hivyo ukichomeka flash au external huwezi kunavigate kuselect kilichomo. Mambo...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
wadau naomba kufahamu maeneo mbali mbali hapa nchini bei ya mahindi ni shilingi ngapi? natafuta soko zuri maana nina mzigo wa stock, maeneo nilipo bei ipo chini sana ni tsh 48,000/= msaada wadau!!!
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mfanyabiashara wa Livestock Trader kutoka Marangu Moshi , Arbogast Morewa alikabidhiwa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 10/= baada ya kuibuka mshindi wa kwanza wa mwezi katika kampeni ya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…