kzba
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 1,355
- 793
Tahadhari sitaki gari za mikoani, sitaki vigari vyenu vya kiboya hivi sijui vits,staret,paso, pote, sijui takataka gani nataka gari kidogo yenye ahueni na inayoweza kusafiri.
Namba siyo issue ila isiwe A wala B ila iwe Toyota.
Na ukiniuzia sharti uniwekee full tank.
Nahitaji only watu ambao wanataka tufanye biashara
Masihara sitaki pesa iko mkononi
Asanteni.
Namba siyo issue ila isiwe A wala B ila iwe Toyota.
Na ukiniuzia sharti uniwekee full tank.
Nahitaji only watu ambao wanataka tufanye biashara
Masihara sitaki pesa iko mkononi
Asanteni.