upo wapi mkuu?nilikuwa nahitaji Strawberry kama box moja hivi wapi naweza kupata kwa bei nzuri?
natanguliza shukrani wakuuu,,,,,,,,,,,,,,........
upo wapi mkuu?
Nipo dar
zipo hapa iringa kilo moja 10000
Kaka hiyo bei inapungua japo kidogo ?
Naweza kuchukua namba yako nami ili nikupigie uniulizie bei?nadhani,sababu zipo hapa ofisini,kuna kampuni hapa inalima matunda tofauti tofauti,kama upo serious chukua namba yangu 0717567879 nikuulizie vizuri kuhusu bei