Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Bwana Yesu asifiwe na asalaam aleykum watu wa Mungu, Nipo hapa uwanjani naomba kujuzwa kama kuna mtu anauza speaker used kwa bei nzuri. Nahitaji kwa lengo la Injili, iwe moja ukubwa wa kuhudumia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
habari ndugu zangu., naomba msaada ntapata wapi mifuko kama hii kuanzia 1kg, 2kg&5kg kwa jumla tafadhal.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
habari wakuu kwa mtu anayehitaji mpunga wa kutoka mwanza (MISUNGWI) pls DM me. upo huko huko.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu liko shamba linauzwa, karibu na Mandela University; Kikwe village, ¾ acres land, Village Pipe of water,Open furrow water, Grid Electricity poles 1.5 kms, 300 mts from the main road, 200 mts...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Kabati Na top hapo nipo mbagala mbande top 120000/ Kabati laki mbili Na nusu vioo vya shelf ya kat vimevunjika mdau anaweza anaweza kuweka vingine mamba ni 0656560824
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu, Kichwa cha habari cha husika. Picha zina maelezo yote kama specs,screen size nk Laptop ipo Arusha mjini. Bei 170,000 net Mawasiliano njoo PM
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta fundi mtalamu atakatenifungia mashine yangu ya kukamua alizeti nipo arusha
0 Reactions
0 Replies
1K Views
inauzwa altezza CFH 541 cc1990 bei M6 pungu unaongea
1 Reactions
16 Replies
2K Views
habarini wadau, kama kichwa kinavyo jieleza, nahitaji kufanya biashara ya kuchukua mzigo wa rasta kiwandani na kupeleka mikoani nikauze kwa bei ya jumla, kama kuna mtu anafahamu utaratibu wa...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Za leo wakuu, Mimi ni mjasiriamali nipo dodoma,ninataka kufungua kiwanda kidogo cha kutengeneza furniture za kisasa lakini sina uzoefu wowote,,,,nataka kijana anayejua kutengeneza sofa za...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari wakuu?? Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mm ni mkazi wa Dar es salaam nmebuni kitu fulani lakin nahitaj capital ya kuniwezesha kuanza so kwa anaefaham sehem ninayoweza kupata loan...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Wakuu salam zenu,,,,,, Katika pita pita zangu nimesikia ya kuwa kuna benki nchini inakopesha pikipiki kwa kianzio cha laki 4,,,, Mwenye kujua zaid atujuze jaman Ahsante, Nawasilisha
0 Reactions
19 Replies
7K Views
Kama kichwa cha thread kinavyojieleza nahitaji maziwa ya ng'ombe fresh Lita tano kwa kila wiki. Mimi niko mbagala 0652074590
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za muda ndugu zang,nauza flat tv nch 32 lg bado mpya kabisa 400000,ipo bukoba kagera
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari wadau, Kwa muda mrefu nmekuwa nkijaribu kutafuta duka la pikipiki ambalo linauza kwa mkopo kwa kulipia kila mwezi bila mafanikio. Nataka nijaribu kwa kupitia JF kama nitafanikiwa kupata...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza nahitaji flat tv nina 700k nahitaji ndani ya siku mbili kuanzia leo niwe nimepata nipigie 0716863406
0 Reactions
5 Replies
741 Views
Habari wadau,nauza maziwa ya ngombe fresh kwa bei ya sh 2000 ,maziwa mtindi 3000 kwa kila Lita,kama utachukua kila siku being inaweza kushuka . Mayai ya kienyeji tray 15,000 Ninaishi kiluvya...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Waheshimiwa, Mimi nipo Dar es Salaam na naomba msaada kwa yoyote aliye na ushauri au maelezo ya jinsi ya kupata pikipiki mpya aina ya boxer nitakayokuwa nailipia kwa wiki au mwezi. Kama kuna...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama kawaida network marketing ndio mfumo pekee wa bbiashara ambao unaweza kukuingizia kipato cha kutosha. Kutokana na sababu kuu mbili ambazo ni:- -unaingiza kipato kupitia kazi zinazofanywa na...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Contact me now for effective design and desirable plus complicated plans. Tunafika site kwako tunachukua vipimo..halafu tunafanya kazi Karibu sana 0654919121 0758919121 0622060797 0683928358...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom