Bwana Yesu asifiwe na asalaam aleykum watu wa Mungu,
Nipo hapa uwanjani naomba kujuzwa kama kuna mtu anauza speaker used kwa bei nzuri. Nahitaji kwa lengo la Injili, iwe moja ukubwa wa kuhudumia...
Wakuu liko shamba linauzwa, karibu na Mandela University; Kikwe village, ¾ acres land, Village Pipe of water,Open furrow water, Grid Electricity poles 1.5 kms, 300 mts from the main road, 200 mts...
Kabati Na top hapo nipo mbagala mbande top 120000/ Kabati laki mbili Na nusu vioo vya shelf ya kat vimevunjika mdau anaweza anaweza kuweka vingine mamba ni 0656560824
habarini wadau, kama kichwa kinavyo jieleza, nahitaji kufanya biashara ya kuchukua mzigo wa rasta kiwandani na kupeleka mikoani nikauze kwa bei ya jumla, kama kuna mtu anafahamu utaratibu wa...
Za leo wakuu, Mimi ni mjasiriamali nipo dodoma,ninataka kufungua kiwanda kidogo cha kutengeneza furniture za kisasa lakini sina uzoefu wowote,,,,nataka kijana anayejua kutengeneza sofa za...
Habari wakuu??
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mm ni mkazi wa Dar es salaam nmebuni kitu fulani lakin nahitaj capital ya kuniwezesha kuanza so kwa anaefaham sehem ninayoweza kupata loan...
Wakuu salam zenu,,,,,,
Katika pita pita zangu nimesikia ya kuwa kuna benki nchini inakopesha pikipiki kwa kianzio cha laki 4,,,,
Mwenye kujua zaid atujuze jaman
Ahsante, Nawasilisha
Habari wadau,
Kwa muda mrefu nmekuwa nkijaribu kutafuta duka la pikipiki ambalo linauza kwa mkopo kwa kulipia kila mwezi bila mafanikio.
Nataka nijaribu kwa kupitia JF kama nitafanikiwa kupata...
Habari wadau,nauza maziwa ya ngombe fresh kwa bei ya sh 2000 ,maziwa mtindi 3000 kwa kila Lita,kama utachukua kila siku being inaweza kushuka .
Mayai ya kienyeji tray 15,000
Ninaishi kiluvya...
Waheshimiwa,
Mimi nipo Dar es Salaam na naomba msaada kwa yoyote aliye na ushauri au maelezo ya jinsi ya kupata pikipiki mpya aina ya boxer nitakayokuwa nailipia kwa wiki au mwezi.
Kama kuna...
Kama kawaida network marketing ndio mfumo pekee wa bbiashara ambao unaweza kukuingizia kipato cha kutosha.
Kutokana na sababu kuu mbili ambazo ni:-
-unaingiza kipato kupitia kazi zinazofanywa na...
Contact me now for effective design and desirable plus complicated plans.
Tunafika site kwako tunachukua vipimo..halafu tunafanya kazi
Karibu sana
0654919121
0758919121
0622060797
0683928358...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.