Natafuta chain saw.

Natafuta chain saw.

Englishlady

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2013
Posts
2,734
Reaction score
3,652
Habari zenu wajasiriamali.

Natafuta chain saw ya kukodisha kwaajili ya kukatia miti shambani kwangu. Nipo dar lkn nitafanyia kazi ya kukata miti Mkata, Handeni Tanga.

Kwa anaeweza kuniuzia pia anakaribishwa.
 
Nikikumbuka movie inatwa Texas ChainSaw Massacre sina hamu na hayo madude kabisa
images.jpg
 
Back
Top Bottom