Laptop unaweza kutumika kama iPad pia. Laptop ni core i 5, Ram 4GB HDD 120, inatunza chaji zaidi ya masaa kumi. If interested call 0717425183. Bei ni shiling 600,000 Karibuni
Wadau nina mzigo wa mahindi
Lakini kwa mkoa niliopo bei hairidhishi kabisa yaani ni hasara kubwa na inazidi kushuka kila kukischa...
Nisaidieni wadau bei zipoje huko kwenu
Niuze angalau nirudishe...
Habari wakuu
Nipo hapa kutafuta mtaalamu wa Kupiga kinanda anifundishe Hadi nifaham vizuri nipo tayari kumlipa kiasi tutakachoelewana naye..
Na kama akiwa choir master au organist itakuwa poa...
Habari naitwa Elia ni mtaaramu wa mambo ya urembo na ususi kwenye salon ya kike nahitaji ajira ya salon na uzoefu wa kutosha kwa mambo ya saloon nahitaji kazi saloon ya kike dar nafanya vitu...
kwa wanaotaka kufungua hotel au bar ninakodisha nyumba ya biashara ipo Arusha sanawari. Ina eneo la wazi la kutosha. kodi tutaongea utakapofika kwenye eneo husika.
tuwasiliane kwa namba hizi...
Nahitaji mifuko ya salfeti kuanzia kilo 1,2 na 5kg. Kwa mtu anayetengeneza na kuweka logo tafadhali tuwasiliane ama hata kama unamjuwa anayefanya iyo kazi nisaidie tuu. check sample ya mfuko hapo...
Je Unahitaji kupunguza mwili haraka
Vegievegie ni bidhaa mpya ambayo inaupunguza mwili haraka bila Kuleta Athari kwa mwili
Inaformula madhubuti inayowezesha mwili kupungua Kwasababu inapunguza...
Habari Wakuu!
Kutokana na kudorola kwa biashara, Nimeamua kufunga Stationary! Kuna items ambazo zimebaki na ningependa kuziuza kabla ya kufunga!
Nina Canon C-EXV33 Tonner 6 for imageRUNNER...
Habari wakuu.
Tumeshuhudia kupata mtaji fedha imekuwa changamoto kubwa. Lakini pia, hakuna njia ya kuukuza mtaji kama hujawekeza kwenye mradi wowote. Hivyo Sisi Drones Online Ads tumekuwa kwa muda...
Offer offer offer!
Samsung s7 earphones original zinapatikana dodoma na dar es salaam. Mkoani unatumia kuanzia 20pcs
Bei 5500/=
Call 0753063142/0653316087/0687418839
Whatsapp 0687418839
Wadau kama kichwa cha habari kinavyojieleza
Nina 2plates mashine ya kuprint picha/kuweka picha kwenye nguo kama T-shirt n.Ni kubwa industrial machine ina sahani 2 ambazo unaweza kufanya kazi...
Wanajamvi habari zenu polen na majukumu,naomba msaada kwa anaejua bei ya mashine ya kufyatulia tofali za aina zote zile za manual,diesel au umeme anisaidie na zinapopatikana tafadhari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.