Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wadau.Nauza simu aina ya IPhone 8 with storage 256 GB.Tangu nimenunuwa haina hata mwezi. Kama unaitaka njoo inbobo
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari, kama unamjua dada wa kazi au yeyote anayetafuta tafadhali tuwasiliane. Regards, Rogie
1 Reactions
25 Replies
4K Views
Laptop unaweza kutumika kama iPad pia. Laptop ni core i 5, Ram 4GB HDD 120, inatunza chaji zaidi ya masaa kumi. If interested call 0717425183. Bei ni shiling 600,000 Karibuni
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wadau nina mzigo wa mahindi Lakini kwa mkoa niliopo bei hairidhishi kabisa yaani ni hasara kubwa na inazidi kushuka kila kukischa... Nisaidieni wadau bei zipoje huko kwenu Niuze angalau nirudishe...
0 Reactions
4 Replies
771 Views
Habari wakuu Nipo hapa kutafuta mtaalamu wa Kupiga kinanda anifundishe Hadi nifaham vizuri nipo tayari kumlipa kiasi tutakachoelewana naye.. Na kama akiwa choir master au organist itakuwa poa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari naitwa Elia ni mtaaramu wa mambo ya urembo na ususi kwenye salon ya kike nahitaji ajira ya salon na uzoefu wa kutosha kwa mambo ya saloon nahitaji kazi saloon ya kike dar nafanya vitu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
kwa wanaotaka kufungua hotel au bar ninakodisha nyumba ya biashara ipo Arusha sanawari. Ina eneo la wazi la kutosha. kodi tutaongea utakapofika kwenye eneo husika. tuwasiliane kwa namba hizi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nahitaji mifuko ya salfeti kuanzia kilo 1,2 na 5kg. Kwa mtu anayetengeneza na kuweka logo tafadhali tuwasiliane ama hata kama unamjuwa anayefanya iyo kazi nisaidie tuu. check sample ya mfuko hapo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu ,nina milion 3 natafuta gari ndogo ya kukatia msele hapa mjini <br />Msaada please
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Je Unahitaji kupunguza mwili haraka Vegievegie ni bidhaa mpya ambayo inaupunguza mwili haraka bila Kuleta Athari kwa mwili Inaformula madhubuti inayowezesha mwili kupungua Kwasababu inapunguza...
0 Reactions
0 Replies
578 Views
Habari Wakuu! Kutokana na kudorola kwa biashara, Nimeamua kufunga Stationary! Kuna items ambazo zimebaki na ningependa kuziuza kabla ya kufunga! Nina Canon C-EXV33 Tonner 6 for imageRUNNER...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
kwa wale wanaohitaji mayai ya kisasa yanapatikana kila siku kwa jumla na rejareja.Napatikana Kibaha kwa mfipa. Mawasiliano..0716666954
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Kwa vijana walio na mzoefu wa kuuza na kuchoma chips kuku na samaki awe mwaminifu na mwadilifu kwa maelezo zaidi 0773262576 Wakazi wa dar tu
2 Reactions
4 Replies
2K Views
nifanye nn ili biashara yang ya saloon ya kike isi dolole waungwana ndo kwanza nafungua
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wakuu. Tumeshuhudia kupata mtaji fedha imekuwa changamoto kubwa. Lakini pia, hakuna njia ya kuukuza mtaji kama hujawekeza kwenye mradi wowote. Hivyo Sisi Drones Online Ads tumekuwa kwa muda...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Offer offer offer! Samsung s7 earphones original zinapatikana dodoma na dar es salaam. Mkoani unatumia kuanzia 20pcs Bei 5500/= Call 0753063142/0653316087/0687418839 Whatsapp 0687418839
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari wana Jf naomba msaada kwa anayejua bei ya tecno W3 moshi Kilimanjaro please.
1 Reactions
1 Replies
4K Views
Wadau kama kichwa cha habari kinavyojieleza Nina 2plates mashine ya kuprint picha/kuweka picha kwenye nguo kama T-shirt n.Ni kubwa industrial machine ina sahani 2 ambazo unaweza kufanya kazi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanajamvi habari zenu polen na majukumu,naomba msaada kwa anaejua bei ya mashine ya kufyatulia tofali za aina zote zile za manual,diesel au umeme anisaidie na zinapopatikana tafadhari.
0 Reactions
22 Replies
25K Views
Back
Top Bottom