shujaa mjinga
JF-Expert Member
- Feb 10, 2017
- 376
- 444
Habari wadau wajf. Kama kuna boss yeyote au unamfahamu mtu mwenye bajaji ya kazi nahitaji ili nifanye kazi nipo full nikiwa na leseni na mzoefu wa hii kazi. Nawakirisha
"Unawakirisha" kutoka wapi?Habari wadau wajf. Kama kuna boss yeyote au unamfahamu mtu mwenye bajaji ya kazi nahitaji ili nifanye kazi nipo full nikiwa na leseni na mzoefu wa hii kazi. Nawakirisha
Nawakirisha kutoka temeke mkuu"Unawakirisha" kutoka wapi?
Njoo hapa Mkuu Rombo usukume hii San Lg yangu. Mahesabu utanipa shingapi kwa siku?