Wasindi zaidi wa PesaNiMPesa.

Wasindi zaidi wa PesaNiMPesa.

Vodacom Tanzania

Official Account
Joined
Aug 12, 2013
Posts
324
Reaction score
126
Mfanyabiashara wa Livestock Trader kutoka Marangu Moshi , Arbogast Morewa alikabidhiwa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 10/= baada ya kuibuka mshindi wa kwanza wa mwezi katika kampeni ya [HASHTAG]#PesaNiMPesa[/HASHTAG]. Kupata huduma tupatie taarifa zako na biashara yako kupitia vda.cm/jisajilihapa na tutakufikia, pia wafanyabiashara wa 5 walikabidhiwa kiasi cha shilingi milioni 1/= kila mmoja na wengine zaidi ya 500 wakipata zawadi mbalimbali za kila siku na kila wiki. Changamkia fursa ya kuata huduma hii ikurahisishie kpokea malipo bila makato.

Mshindi wa kwanza wa mwezi aliyejishindia Tsh Milioni 10.

L - MSHINDI WA MWEZI.png


Washindi zaidi wa Tsh Laki moja kila mmoja wameendelea kupatikana.

L- DROO YA 3.png
 
michezo maalum kwa wenye bahati maalum. kwenye bahati nasibu zote tz kuanzia betting, biko, tatu mzuka na hii ya mitandao ya simu; najikuta nimejipachika bedge ya SINA BAHATI kwanza ili kuinisuru roho yangu kunisuta baadae. maana probability/uwezekano wa mimi kuchmolewa kwenye mamilioni ya watanzania zaidi ya 30,000,000 (chukulia adults) pia wachezeshaji wanaruhusu MCHEZAJI ACHEZE MARANYINGI AWEZAVYO ILI KUJIONGEZEA NAFASI ZA USHINDI. mhhhh. lau raundi moja ifike 75,000,000 tickets. sasa tikiti yangu moja tu ya 500 sijui 1,000 ndio nishinde. who am i?

ni kama kaugonjwa lakini kananiweka free of stress, mate yananitoka nikiona akisha musa husseinna kajala wakileta mrejesho wa washindi lakini ngoja wale tu!
 
Kusikia Kwa Kenge Hadi Atoke Damu Puani Na Masikioni 😀😀
 
Back
Top Bottom