Dr. Zaganza
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 1,757
- 2,664
Habari wakuu.
Mimi ni mtaalam wa kupika vitafunwa (snacks and bites) yaani karibu vyote vinavyopatikana hoteli za kitanzania. Nataka kujiajiri rasmi.
Sasa natafuta partner atakayeweza kukodi frem iliyo kwenye sehemu yenye mzunguko mkubwa wa watu ili tufanye biashara kwa wingi.
Tutakubaliana na partner juu ya mgawanyo wa faida inayotokana na mradi huu.
Kwa aliye tayari, nicheki:
0713-039875
Mimi ni mtaalam wa kupika vitafunwa (snacks and bites) yaani karibu vyote vinavyopatikana hoteli za kitanzania. Nataka kujiajiri rasmi.
Sasa natafuta partner atakayeweza kukodi frem iliyo kwenye sehemu yenye mzunguko mkubwa wa watu ili tufanye biashara kwa wingi.
Tutakubaliana na partner juu ya mgawanyo wa faida inayotokana na mradi huu.
Kwa aliye tayari, nicheki:
0713-039875