Ipo Bagamoyo mjini, mita 100 kutoka round about kama unaelekea Ruvu na imefec lami..bei Tsh 550ml
Kwa maelezo zaidi au kuja kuona wasiliana nami kwa 0756060183
Inahitajika RAV 4 ya kuanzia mwaka 2006 mpaka 2008 alimaarufu miss tz. 1. Bajeti milioni 15 - 18.
2. Km zisizidi 90,000.
3. Namba kuanzia D hata C iliyo bomba itafikiriwa.
4. Isiwe imepata ajali...
Nashida na TVS,PLATINA,DUMA,BOXER na aina zingne ambazo ni simple kwa ajili ya matembezi iwe kwenye hali nzuri burget ni lak 7 to 1 mil inategemea na chombo nipo temeke dsm(wailes) nichk 0718163740
Naam tumemaliza salama lakini niwataarifu na niwaombe muhudhurie katika Dua itakayofanyika jumamosi hii ya tarehe 20/01/2018 ufanye huu mwaka kuwa ni mwaka wa mafanikio kwako kwa kutaka radhi...
Jamani natafuta MTU anayeuza laptops za mtumba kwa being ya jumla.Nataka kuanzia 15-30.. Pm namba yako plz au weka hapa Nina LA ofisi na namba ya simu...thank u!
Brand LGP
size 32 inches
Ina hdmi port 3, vga port 1, usb port 1, avi n.k
Haina remote nimepoteza wakati nahama hivyo ukichomeka flash au external huwezi kunavigate kuselect kilichomo.
Mambo...
wadau naomba kufahamu maeneo mbali mbali hapa nchini bei ya mahindi ni shilingi ngapi?
natafuta soko zuri maana nina mzigo wa stock, maeneo nilipo bei ipo chini sana ni tsh 48,000/=
msaada wadau!!!
Mfanyabiashara wa Livestock Trader kutoka Marangu Moshi , Arbogast Morewa alikabidhiwa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 10/= baada ya kuibuka mshindi wa kwanza wa mwezi katika kampeni ya...
TANGAZO
St. Raphael Secondary school, inawatangazia nafasi za masomo kwa kidato cha kwanza kwa mwaka huu 2018.
Kwa nini St. Raphael?
1. Ipo chini ya Jimbo katoliko Ifakara Morogoro
2...
Habari,
Ndugu zangu, wanaofahamu mahali wanapouza paraffin wax inayotumika kutengenezea mishumaa kwa Mwanza naomba anisaidie na ikipendeza ama kwa mawasiliano yao itanifaa zaidi.
Habar ya mda huu wapendwa kama kichwa Cha habari kinavyosema nauza viatu vya ngozi Masai original kutoka namaga Kenya Aina zote kwa bei nafuu pia tunakopesha ni hapa dar karibu Sana wateja
Wanabodi amani iwe kwenu. Kuna eneo ( Plot) zuri sana liauzwa. Lipo mji wa Kibaigwa Dodoma.
1. Lina ukubwa wa heka 7
2. Lipo pembezoni mwa barabara ya Dodoma-Dar
3. Limepimwa na lina hati miliki...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu,
Nafuta mashine ya kukandia ng'ano
Yenye uwezo wa kukanda kilo 30 hadi 50.
Naomba yoyote mwenye kujua wapi zinapatikana hizo machine na bei yake...
Magauni ya harusi yamekodiwa mara chache yana hali nzuri , moja ni jipya , pia yapo ya send off na sherehe mbalimbali . Yanafaa kukodisha au matumizi binafsi. Kuanzia laki moja (100,000 -200,000)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.