Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ipo Bagamoyo mjini, mita 100 kutoka round about kama unaelekea Ruvu na imefec lami..bei Tsh 550ml Kwa maelezo zaidi au kuja kuona wasiliana nami kwa 0756060183
0 Reactions
1 Replies
955 Views
Inahitajika RAV 4 ya kuanzia mwaka 2006 mpaka 2008 alimaarufu miss tz. 1. Bajeti milioni 15 - 18. 2. Km zisizidi 90,000. 3. Namba kuanzia D hata C iliyo bomba itafikiriwa. 4. Isiwe imepata ajali...
0 Reactions
19 Replies
6K Views
Nashida na TVS,PLATINA,DUMA,BOXER na aina zingne ambazo ni simple kwa ajili ya matembezi iwe kwenye hali nzuri burget ni lak 7 to 1 mil inategemea na chombo nipo temeke dsm(wailes) nichk 0718163740
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Nilikuwa nahitaji Strawberry kama box moja hivi wapi naweza kupata kwa bei nzuri? natanguliza shukrani wakuuu.
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Naam tumemaliza salama lakini niwataarifu na niwaombe muhudhurie katika Dua itakayofanyika jumamosi hii ya tarehe 20/01/2018 ufanye huu mwaka kuwa ni mwaka wa mafanikio kwako kwa kutaka radhi...
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Jamani natafuta MTU anayeuza laptops za mtumba kwa being ya jumla.Nataka kuanzia 15-30.. Pm namba yako plz au weka hapa Nina LA ofisi na namba ya simu...thank u!
0 Reactions
2 Replies
702 Views
Brand LGP size 32 inches Ina hdmi port 3, vga port 1, usb port 1, avi n.k Haina remote nimepoteza wakati nahama hivyo ukichomeka flash au external huwezi kunavigate kuselect kilichomo. Mambo...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
wadau naomba kufahamu maeneo mbali mbali hapa nchini bei ya mahindi ni shilingi ngapi? natafuta soko zuri maana nina mzigo wa stock, maeneo nilipo bei ipo chini sana ni tsh 48,000/= msaada wadau!!!
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mfanyabiashara wa Livestock Trader kutoka Marangu Moshi , Arbogast Morewa alikabidhiwa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 10/= baada ya kuibuka mshindi wa kwanza wa mwezi katika kampeni ya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nauza vifaa vya bakery ambavyo bado vinatumika kwa sasa. Napatikana Kigamboni, Dar es Salaam. Tel. 0754 801 402
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Jamani nahitaji laptops used kuanzia 15-30 kwa bei ya jumla. Msaada plz.
0 Reactions
13 Replies
1K Views
TANGAZO St. Raphael Secondary school, inawatangazia nafasi za masomo kwa kidato cha kwanza kwa mwaka huu 2018. Kwa nini St. Raphael? 1. Ipo chini ya Jimbo katoliko Ifakara Morogoro 2...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari za muda huu wakuu,kama heading inavyojieleza nahitaji Samsung LED tv 32 inch series 5 kama kuna mtu anauza naomba ani pm
0 Reactions
2 Replies
968 Views
Habari, Ndugu zangu, wanaofahamu mahali wanapouza paraffin wax inayotumika kutengenezea mishumaa kwa Mwanza naomba anisaidie na ikipendeza ama kwa mawasiliano yao itanifaa zaidi.
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema,nahitaji betri ya laptop Apple MacBook Pro inch 15 model A 1175 karibuni
0 Reactions
0 Replies
679 Views
Habar ya mda huu wapendwa kama kichwa Cha habari kinavyosema nauza viatu vya ngozi Masai original kutoka namaga Kenya Aina zote kwa bei nafuu pia tunakopesha ni hapa dar karibu Sana wateja
0 Reactions
17 Replies
8K Views
Wanabodi amani iwe kwenu. Kuna eneo ( Plot) zuri sana liauzwa. Lipo mji wa Kibaigwa Dodoma. 1. Lina ukubwa wa heka 7 2. Lipo pembezoni mwa barabara ya Dodoma-Dar 3. Limepimwa na lina hati miliki...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, Nafuta mashine ya kukandia ng'ano Yenye uwezo wa kukanda kilo 30 hadi 50. Naomba yoyote mwenye kujua wapi zinapatikana hizo machine na bei yake...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Magauni ya harusi yamekodiwa mara chache yana hali nzuri , moja ni jipya , pia yapo ya send off na sherehe mbalimbali . Yanafaa kukodisha au matumizi binafsi. Kuanzia laki moja (100,000 -200,000)...
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Back
Top Bottom