Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wana janvi natumain mu wazima wa afya. Karibu tujifunze kutengeneza bidhaa zifuatazo kwa punguzo kubwa.[emoji617] la bei. Na mafunzo yote yatafanyika online kupitia whatsap...
0 Reactions
26 Replies
8K Views
Natangaza kuuza kiwanja changu chenye ukubwa wa hatua 20 upana na hatua 30 urefu,Kipo maeneo dumira morogoro barabara iendayo kilosa.Bei ni makubaliano.kiwanja kipo eneo zuri kwa makazi na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Noah voxy inauzwa ipo katika hali nzuri ,matumiz yake ni cormecial ingawa plate namba zake hazijabadilishwa kuwa kibao cheupe na haijafanya biashara gari inapatikana chikuyu dodoma kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani naulizia bei ya jiko la gesi na mtungi wake ule mkubwa,
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu. Nahitaji mashine (mashine ya bam bam) ya kufyatulia tofali za Inch 5 kwa gharama ya laki moja tu. Iwe katika hali nzuri na ikiwa na vibao,itapendeza zaidi...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Inauzwa 15.ml Engine diesel Km 117216 Picha zinakuja
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Emeo lipo salasala kinzudi kwa jina jingine usukumani Bei Tsh 8.5m Bei ina maongezi Mawasiliano. 0756060183
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Amiba ni ugonjwa gani? ni ugojwa ambao husababishwa na bakteria aitwaye Ectamoeba Histolika ambaye huishi katika kinyesi cha mwanadamu. Ugonjwa huu huweza kuhathiri hadi uti wa mgongo pamoja na...
1 Reactions
2 Replies
23K Views
Achana na kilimo cha kutegemea mvua Sasa nawaletea GREENHOUSEDrip irrigation , drip tapes na accessories zake na reserve tank la lita 3500 kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji kisicho na stress...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Asalam alaykum ndugu zangu, Narudi tena baada ya kutopata mafanikio katika uzi wa kwanza. Bila kuathiri maelezo katika kichwa cha habari hapo juu. Nahitaji kununua gari kwaajili ya abiria.Gari...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Naulizia universal router anayeuza wana ndugu JF
0 Reactions
0 Replies
460 Views
Nauza Softwears hizi zikiwa full version na kufanya kazi kwa kila controller kwa 100% Kwa MAC/WINDOWS pia unaweza kurecord mixing zako MP4 HD 1080(Full HD) pia Zinakua na skin 3D zenye mashine za...
0 Reactions
0 Replies
46K Views
nyumba inapangishwa arusha sanawari. Ni nyumba inayofaa kwa biashara kama dispensary au hotel au day care au kwa kulala. ina vyumba viwili, sebule, jiko, choo, bafu na store na eneo la wazi. sio...
0 Reactions
1 Replies
712 Views
wakuu habari zenu, naitaji kununua gari aina ya fuso tani tano au kumi used, kwa yoyote mwenyenalo tafadhari anipm
0 Reactions
11 Replies
11K Views
karibuuni sana kujipatia bidhaa zilizotengenezwa na mitishamba asilia za kupunguza tumbo na unene.. pia kwa wale wanaosumbuliwa na upungufu wa nguvu za kiume tiba ipo kwa bei nafuu
0 Reactions
41 Replies
7K Views
Kwa Tsh 9,900/-Joto sio tatizo tena,kiyoyozi kiganjani mwako;Feni unayoweza ichomeka katika simu yako na ikakupepea.Mawasiliano:0688304874
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Samsung a5 clean gb 16 Ram 2gb 4g network Bei: 350,000/= 0764 876 888 DSM
0 Reactions
4 Replies
844 Views
Wanahitajika maafisa mikopo mikoa ya Dar na Arusha VIGEZO Uwe na uwezo mzuri wa kuongea na kujieleza kwa kujiamini mbele za watu wengi. ELIMU Uwe umemaliza kidato cha nne MSHAHARA Tunalipa...
3 Reactions
14 Replies
3K Views
Wasalaam, mashine ya kukamua juisi ya miwa kwa kutumia umeme, inauzwa sh. Laki saba tu, ipo Sinza palestina. imetumika miezi miwili tu, kwa mawasiliano zaidi piga 0714264484.
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Jipatie gari maarufu kwa jina la kirikuu(hijet) kwa bei chee kabisa ya kiasi kisichopungua milioni 6.. Linapatikana Dodoma... Mawasiliano:0718274828
0 Reactions
5 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…