Salaam wadau..nahitaji secretary katika ofisi yangu iliyopo Dsm.Vigezo Muhimu no kama ifuatavyo:
1.Lazma awe amesomea kozi ya secretarial kwa ngazi ya cheti na kuendelea.
2.Awe na ujuzi wa matumizi ya kompyuta kwenye kuchapa na kutumia emails
3.Afahamu kiingereza(basic)
4.Awe na uwezo wa kupokea na kuzungumza na wageni wa aina mbali mbali
5.Awe msafi na mtanashati
Kwa mawasilino zaidi tafadhali tuma msg kwenye namba 0689900000 au email kwa ndaha2000@gmail.com.Karibuni
1.Lazma awe amesomea kozi ya secretarial kwa ngazi ya cheti na kuendelea.
2.Awe na ujuzi wa matumizi ya kompyuta kwenye kuchapa na kutumia emails
3.Afahamu kiingereza(basic)
4.Awe na uwezo wa kupokea na kuzungumza na wageni wa aina mbali mbali
5.Awe msafi na mtanashati
Kwa mawasilino zaidi tafadhali tuma msg kwenye namba 0689900000 au email kwa ndaha2000@gmail.com.Karibuni