Issuna
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 3,204
- 7,653
Kuna mteja wa startimes kaja ofisini kwangu hapa,bahati mbaya au nzuri nimekosea namba ya acc no.yake ya kadi yake ya startimes,sasa nikawa nimefanya malipo kwenye akaunti tofauti.\
Bahat nyingine mbaya baada ya kufanya malip[o akaunt tofaut nikarudia kufanya tena malipo kwenye akaunt yake kisha akaondoka,huku nyuma napga simu startimes BAHATI MBAYA SASA hela hawarudishi ila wanachofanya ni kuhamisha malipo kutoa akaunt A to acc B sasa na mteja yule wa mwanzo nishamlipia.
KWA MWENYE STARTIMES AWEKE NAMBA NIMPE HII OFA...bora nimpe ofa mwana jf kuliko nisie mjua.
Bahat nyingine mbaya baada ya kufanya malip[o akaunt tofaut nikarudia kufanya tena malipo kwenye akaunt yake kisha akaondoka,huku nyuma napga simu startimes BAHATI MBAYA SASA hela hawarudishi ila wanachofanya ni kuhamisha malipo kutoa akaunt A to acc B sasa na mteja yule wa mwanzo nishamlipia.
KWA MWENYE STARTIMES AWEKE NAMBA NIMPE HII OFA...bora nimpe ofa mwana jf kuliko nisie mjua.