Natafuta mtu wa kufanya nae biashara

Natafuta mtu wa kufanya nae biashara

ilisha juniour

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
714
Reaction score
219
Habari wapendwa
Natafuta mtu mwenye mtaji mdogo kama mimi tuungane kufanya biashara mtaa wa kongo kariakoo pana meza inakodishwa na kwa siku inalaza faida kuanzia elfu hamsini na kuendelea, kwa maelezo zaidi unaweza kuni pm Kama unahitaji mimi mtaji wangu ni milioni moja mbia nnaemhitaji ni mwenye mtaji wa kuanzia laki saba
 
Mimi Nipo tayari kwa huo ubia wa biashara.Na mimi nipo tayari kutoa milion moja,ila faida tuwe tunagawana 50-50.NINA UMRI WA 60 yrs
 
Kwa huo umri kuna hatari ya wewe kumtegea mbia wako katika utendaji.
 
Habari wapendwa
Natafuta mtu mwenye mtaji mdogo kama mimi tuungane kufanya biashara mtaa wa kongo kariakoo pana meza inakodishwa na kwa siku inalaza faida kuanzia elfu hamsini na kuendelea, kwa maelezo zaidi unaweza kuni pm Kama unahitaji mimi mtaji wangu ni milioni moja mbia nnaemhitaji ni mwenye mtaji wa kuanzia laki saba
Biashara ya kuuza hiyo meza?
Kwa huo umri kuna hatari ya wewe kumtegea mbia wako katika utendaji.
 
Mimi Nipo tayari kwa huo ubia wa biashara.Na mimi nipo tayari kutoa milion moja,ila faida tuwe tunagawana 50-50.NINA UMRI WA 60 yrs
Kwa huo umri kuna hatari ya wewe kumtegea mbia wako katika utendaji.
 
Back
Top Bottom