Natafuta decorder ya AzamTv used

Natafuta decorder ya AzamTv used

LUTAMBI

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2012
Posts
233
Reaction score
103
Yes...natafuta decorder ya AzamTv used kwa bei nafuu. Hii ni kwa Dar na maeneo ya Karibu. Kama unayo nicheck kwenye 0715719171. Kiwe katika hali nzuri na bei nafuu.
 
Yes...natafuta decorder ya AzamTv used kwa bei nafuu. Hii ni kwa Dar na maeneo ya Karibu. Kama unayo nicheck kwenye 0715719171. Kiwe katika hali nzuri na bei nafuu.

Mm ninacho sema untk kwa sh ngp nkuuzie
 
Asante kwa ushauri... Ila isitafsiriwe kupenda kitonga ila ni mfuko ndo upo jangwani.
Kuwa mpole tu jipange decoder nyingi aftr 5 yrs zinakuwa vimeo na umeme wetu huu wa tia maji utasukumiwa shokolopwengo
 
taja offer wengine hatupendi kusumbuka kupiga simu kisha miyayusho pengine una elf 5
 
Asanteni wadau. Nimeshapata decoda ya Azam. Thanx Jf.
 
Na mimi mwenye nayo hiyo dekoda kama anauza anicheki 0658397759
 
Back
Top Bottom