nimejaribu kuuza kwa njia ya mnada kupitia hii link Samsung galaxy mega GT-I9200 kwa kiasi chochote cha pesa ulicho nacho!! ila naona watu wanaogopa kutaja dau zao, na waliotaja kama hawapo...
Iwe na :-
- inajitegemea umeme na maji (visiwe vya ku share).
- vyumba vya kulala 3 au zaidi.
- iwe mahala popote ambapo napanda gari moja kuelekea Ghana (pasiwe usahilini)
- ujirani mwema.
- iwe...
Habari za kutwa mwana jf kama kichwa cha habari kinavyo sema nahitaji smartphone ila bajeti yangu ni hiyo niliyo itaja.
Cm inatakiwa iwe na kamera yenye uwezo mkubwa pia iwe na uwezo wa kuhifadhi...
Tunafundisha wanafunzi wote kuanzia kidato cha kwanza mpaka cha sita kwa masomo yote ya sayansi, Sanaa na biashara. Pia nafasi chache zipo kwa ajili ya wanafunzi wa shule ya msingi tupo kinondoni...
Wakuu habari za mida hii?
Bila kuwachosha nina simu yangu aina ya Huawei ni Tablet inatatizo la spika pamoja na vitufe vya kuzimia na kuongezea sauti vimetoka.
Fundi mzuri asiyekuwa mbabaishaji...
1. Camera set 4 na DVR yake na system nzima ni Tsh 900,000/-
2. Camera set 6 na DVR yake na system nzima ni Tsh 1,300,000/-
3. Camera set 8 na DVR yake na system nzima ni Tsh 1,900,000/-
4. Camera...
Hiki ni moja ya kitabu ninachohangaika kukipata na mpaka sasa nimetumia wiki 4 bila ya matumaini yoyote.
Nimezunguka Posta kwenye maduka makubwa makubwa sijafanikiwa kupata now nimeamua kukileta...
Nahitaji screen protector ya iPad 2 apple model nipo Dar es salaam,,, Bainisha na gharama yake ,,,for more information: screen protector seller follow me PM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.