Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza Printer aina ya HP 2050 (Colored) Imetumika miezi 6 tu na haina tatizo ispokuwa haina Wino tu. Bei - 250,000/= Warrant - 1year Nipo Kurasini DSM. Simu - 0757347907 "Karibuni sana"...
0 Reactions
1 Replies
690 Views
Nipo Dsm, kwa atakae hitaji nitafute namb hii >>0693289203
0 Reactions
4 Replies
1K Views
nimejaribu kuuza kwa njia ya mnada kupitia hii link Samsung galaxy mega GT-I9200 kwa kiasi chochote cha pesa ulicho nacho!! ila naona watu wanaogopa kutaja dau zao, na waliotaja kama hawapo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Haya sasa baada ya kupotea kwa muda mreefu ndugu zangu, simu mpya kabisa (Brand new) bei chee Unaletewa mpaka ulipo kwa DSM Tuwasiliane +255629637060
0 Reactions
8 Replies
994 Views
Iwe na :- - inajitegemea umeme na maji (visiwe vya ku share). - vyumba vya kulala 3 au zaidi. - iwe mahala popote ambapo napanda gari moja kuelekea Ghana (pasiwe usahilini) - ujirani mwema. - iwe...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari za kutwa mwana jf kama kichwa cha habari kinavyo sema nahitaji smartphone ila bajeti yangu ni hiyo niliyo itaja. Cm inatakiwa iwe na kamera yenye uwezo mkubwa pia iwe na uwezo wa kuhifadhi...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Wakuu hodi humu ndani! Nina Scania mende ambayo ipo sokoni inauzwa Details: Year: 2008 Brand: Scania Price: 71 million Capacity: 41Tones Contact: 0625568600
2 Reactions
34 Replies
22K Views
Tunafundisha wanafunzi wote kuanzia kidato cha kwanza mpaka cha sita kwa masomo yote ya sayansi, Sanaa na biashara. Pia nafasi chache zipo kwa ajili ya wanafunzi wa shule ya msingi tupo kinondoni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Anahitajika mwalimu wa nursery anaeishi kahama. Anaemfahamu anichek PM
0 Reactions
0 Replies
764 Views
Milage 80000 Ac iko safi gari Haina shida yoyote Gari iko dsm.... Bei ya kuuza ni 9 Mln Kwa mawasiliano piga sim 0715591141 Ova
2 Reactions
17 Replies
8K Views
Wakuu habari za mida hii? Bila kuwachosha nina simu yangu aina ya Huawei ni Tablet inatatizo la spika pamoja na vitufe vya kuzimia na kuongezea sauti vimetoka. Fundi mzuri asiyekuwa mbabaishaji...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimeandaa heka tatu nahtaj nipande heka tatu za mihogo msimu huu was mvua Ni wapi nitapata soko zuri na la uhakika
0 Reactions
1 Replies
683 Views
Kama heading inavyosema, pickup stout namba yeyote ile rangi yeyote iwe inatembea au matengenezo kidogo Bajeti 4m 0716411720
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Please wapi napata soko la uyoga?
0 Reactions
0 Replies
3K Views
1. Camera set 4 na DVR yake na system nzima ni Tsh 900,000/- 2. Camera set 6 na DVR yake na system nzima ni Tsh 1,300,000/- 3. Camera set 8 na DVR yake na system nzima ni Tsh 1,900,000/- 4. Camera...
0 Reactions
5 Replies
9K Views
Nataka modem ya universal, 4g, iwe inasupport window 2010 pia, wireless.
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Hiki ni moja ya kitabu ninachohangaika kukipata na mpaka sasa nimetumia wiki 4 bila ya matumaini yoyote. Nimezunguka Posta kwenye maduka makubwa makubwa sijafanikiwa kupata now nimeamua kukileta...
0 Reactions
1 Replies
501 Views
Hp probook Core i7 Hdd-1Tb Ram-8gb Processor-2.6ghz Graphic card-2gb Clean condition Price 950 negotiatable Nichek no 0659116111
0 Reactions
2 Replies
567 Views
Nahitaji screen protector ya iPad 2 apple model nipo Dar es salaam,,, Bainisha na gharama yake ,,,for more information: screen protector seller follow me PM
0 Reactions
0 Replies
642 Views
Back
Top Bottom