Wadau habari zenu, leo asubuhi nimeangusha earphones nyeupe zinatumia bluetooth kwenye gari ya kwenda tegeta kutokea kivukoni, aliyeziona jamani anisaidie kwani nazihitaji sana.
Simu nimenunua miezi 2 iliopita/K/koo sh 315,000 ila naiuza kwa 295,000. haina tatizo lolote lile.
13MP camera
2GB RAM
16GB Internal
4G Network
Original Charger
Njoo PM kama unavutiwa.Asante.
Kipo Toangoma mtaa wa Masaki ,sio mbali na stand kuu ya Toangoma na ni karibu na shule ya sekondari, ukubwa wa eneo ni futi 60 kwa 70. Hakina hati na bei yake ni tshs million Saba...
Maverick supplies ni kampuni inayojiendesha kwa uuzaji wa mayai ya kienyeji na kisasa. Kwa sasa, stock ya mayai ya kisasa ipo ya kutosha sana. Kwa mwenye mahitaji ya mayai hotelini, shuleni...
Tunatengeneza Mobile apps zote (Android na iOS). Email us at info@buibuitech.com for more info or you can visit our website www.buibuitech.com to get a FREE quote. +255 673 602 513
Habarini wadau,
Nahitaji mashine nzuri ya GPS ya bei ya kati wanayotumia wataalam wa survey kwa ajili ya kupimia viwanja,mwenye uelewa iliyo nzuri na zinapoizwa plz!!
Je wajua faida ya mafuta asili ya nazi?
. Yanatengeneza Misuli ya mwili
Hutibu maambukizi ya fangasi
. Yanaotesha nywele
Yanaondoa mba kichwani
Mafuta bora zaidi kwa ngozi yako
Yanalinda ngozi...
Habari zanu ndugu wasomaji katka hii app. Tunayo furaha kubwa sana kuwafikishia ujumbe huu.
Kutokana na wimbi kubwa la watu wanao jivika taji la ufundi ikiwa awna professional na kaz guys, sasa...
Kiwanja chenye ukubwa wa 25 kwa 25 ,kinauzwa , Kiwanja kipo kibamba . Kinaumbari
Wa m500 ,kutoka morogoro load , katembea kwa miguu mpaka kilipo ni dk 20 /30. gari inafika bila shida. Umeme...
okoa biashara yako sasa kwa kutumia e-lectronic marketing baina ya biashara na mteja.
1.Natoa huduma ya bulk sms (ujumbe kufika kwa watu wengi) hadi watu 600,000 kwa siku moja
2.Nauza database za...
Mapaambano yanaendelea digital market ndio him tuwasiliane sana kwa. Wanahohitaji kuprint flana kwa bei nafuu yani yakuhangushiaaaaa mawasiliano ni 0653262105
Subaru mpya kabisa inauzwa kwa bei nzuri,nyaraka za umiliki zote zipo.
AINA YA GARI: Subaru Legacy saloon
LOCATION; Dar es salaam
CC; 2000
MWAKA; 2004
REG NO; T 353 DHX
BEI; 11.6 million (Maongezi...
Wadau nataka kuanzisha duka la nguo za mtumba nimepata chimbo moja matata sana,nahitaji kujua wapi naweza kupata "enga" sijui kama ni kiswahili fasaha.Nahitaji kama 700-1000 hivi,nipeni chimbo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.