Naomba kujfahamu bei ya mashine hizi

Naomba kujfahamu bei ya mashine hizi

Ze Don B12

New Member
Joined
Feb 9, 2018
Posts
3
Reaction score
2
Tafadhali wadau naomba mnisaidie wenye uzoefu na huu mradi
napenda kujua mambo ya fuatayo
1:Bei za mashine za Manual 4sreens ikiwa complete
2:Bei ya matishirt kwa jumla jumla..ni bei gan na zinakuwa na quantity gan
na pia zinapatikana wap
3:Mzunguko wa biashara unakuaje ki ujumla


ASANTEN SANA!
 
Back
Top Bottom