Webbcoffee
Member
- Feb 8, 2018
- 14
- 3
hivi vitu kuna mtu anatengeneza! Naomba kujua bei yake na utaratibu kisha tufanye biashara.
Nataka kama hizi lakini kwa jina langu.
Nataka kama hizi lakini kwa jina langu.
Nahitaji branded. Shukrani nduguWewe una shingapi kwa dozen moja japo sio branded nenda kiwandani wanakotengeneza.