Himidt Lengo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2018
- 307
- 244
Wakuu Nahitaji meza ya kawaida ya mbao yenye urefu futi sita, upana futi 2.5 .... 3.5, kimo km futi 3 (ile ambayo mtu akikalia kiti cha kiofisi basi anaweza kuandika au kufanya mambo mengine vzr bila shida).Ninahitaji na benchi mbili zenye urefu Wa futi 6.Nina elfu thelathini tuu, nipo Arusha mtaa Wa Unga limited.Kama unaweza kunisaidia hizo samani tuwasiliane kwa 0759641184.Muwe na mda mwema.