Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wazima wakuu. naitaji kuchimba kisima maeneo ya VIGWAZA MBUYUNI naomba mwenye kujua gharama za pale kwa wale wenye uzoefu na maeneo ya uko. pia naomba mwenye contact za company za uchimbaji .kuna...
1 Reactions
4 Replies
5K Views
Mambo vip wana jf je una biashara yako? na unapenda kuitangaza kupitia blog au web site usiogope kutana na mzizimpya akutengenezee blog ya bei rahisi kabisa ni shilingi 5000 tu Au pitia blog...
0 Reactions
1 Replies
719 Views
Nauza pasi ya umeme aina ya Panasonic, Bei 25000 kwa atakae hitaji nitafute namb >> 0693289203
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Ukubwa 25x25, 40x35, 40x40.ni sehemu tambarere gari linafika mpaka mlangoni. Dalali hatakiwa bei inaanzia 2milioni na maongezi yapo. Contact 0714812375 0784821832
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Pikipiki aina ya boxer inauzwq 900k maelewano yapo njoo ukague IPO katika hali nzuri. napatikana kigamboni Dar es salaam. Phone 0653435142
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwema humu? Mahali: Tabata Kimanga, MAWENZI (Mita 20-25 kutoka kituo cha daladala maeneo wanapochoma chips) Kodi: 80,000 ilipwe kwa miezi 6 Kwa mawasiliano 0622 588 062
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Eneo zuri na muafaka kwa kuwekeza... Kilimo /ufugaji. Lipo Bagamoyo , pale makurunge njiapanda ya kuelekea saadani bei ni 3.5m@ heka moja na kuna ekari mbili. Umeme upo jirani 0716548250
0 Reactions
2 Replies
1K Views
SQM 640 ukubwa wa kiwanja Nyumba nzuri sana mpya Bei 45 Million(maongezi yapo) Hapajapimwa Mwendo wa dakika 20 kufika eneo lenyewe Picha chini Contact 0622-027490
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Ndugu zangu naomba msaada wa kujua bei za madawa haya hapo ulipo ili nithamanishe na huku kwetu Iringa mjini. Kama kutakua na unafuu niyafuate huko. Othello ujazo wa lita moja (1000ml) SUPER...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hello rafiki, Naamini hakuna mtu ambae hapendi kumiliki gari ili kurahisisha shughuli za maendeleo na usafiri kwa ujumla. Sina uchoyo hasa wa Habari, hivyo kama kweli unahitaki kununua gari...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mwenye mashine ya kuuzia luku, kulipia maji, vifurushi, nk anitafute... nina ofa ya 200000 cash. Niko mail moja. Piga namba 0719 222900
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Asalaam aleikhum ndugu zangu wa jukwaa hili mahsusi, matumaini yangu kuwa ni wazima wa afya na mnaendelea na gurudumu la kusukuma Maisha. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Kiwanja...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wapendwa ktk jina la muumba Wetu aliye mkuu natumaini hamjambo Kwa uwezo wake. Nina ndugu yangu anayetafuta Gari tajwa please aliye na Gari kama hiyo Au anayejua mwenye nayo anayeuza please...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Wadau Salaam. Nilikuwa naomba kuuliza wapi naweza kupata eneo wanaouza farasi kwa mikoa ya dar, tanga, moro na bagamoyo.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nauza Camon CX Air kwa Sh. 240,000 tuu Nimeitumia Mwezi Mmoja Risiti Ninayo Na Charger Yake. -Camera 13MP -Front 13MP -Ina Flash Rear Na Front Cameras -RAM 2GB -ROM 16GB Sababu ya Kuuza...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Mwenye computer anayeuza au kama unamfahamu mtu anauza , tafadhali naomba nijulishe. Iwe na RAM 4GB na kuendelea. HDD 350 na core i5. Budget yangu ni 350000 Cash.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kuna maeneo mazuri na ya kutosha, kwa ajili ya kuwekeza katika nyanja ya kilimo. Ukubwa: Kuanzia heka moja hadi mia (100). Kama utahitaji Sehemu/eneo: Mashamba yapo kijiji cha kibudi - bupu...
1 Reactions
11 Replies
6K Views
Hii simu nimeinunua mpya hata wiki mbili hazijaisha ila nmepata emergence I need the cash.<br />Ipo kwenye very good condition, Kila kitu chake kipo mpaka warrant seal. Napatikana Dar es Salaam...
0 Reactions
3 Replies
926 Views
kama una pata shida kwenye kutafuta windows 10 na nyinginezo.catch me on whatsapp 0657586916
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom