Wazima wakuu. naitaji kuchimba kisima maeneo ya VIGWAZA MBUYUNI naomba mwenye kujua gharama za pale kwa wale wenye uzoefu na maeneo ya uko. pia naomba mwenye contact za company za uchimbaji .kuna...
Mambo vip wana jf je una biashara yako? na unapenda kuitangaza kupitia blog au web site usiogope kutana na mzizimpya akutengenezee blog ya bei rahisi kabisa ni shilingi 5000 tu
Au pitia blog...
Eneo zuri na muafaka kwa kuwekeza... Kilimo /ufugaji. Lipo Bagamoyo , pale makurunge njiapanda ya kuelekea saadani bei ni 3.5m@ heka moja na kuna ekari mbili. Umeme upo jirani
0716548250
SQM 640 ukubwa wa kiwanja
Nyumba nzuri sana mpya
Bei 45 Million(maongezi yapo)
Hapajapimwa
Mwendo wa dakika 20 kufika eneo lenyewe
Picha chini
Contact 0622-027490
Ndugu zangu naomba msaada wa kujua bei za madawa haya hapo ulipo ili nithamanishe na huku kwetu Iringa mjini. Kama kutakua na unafuu niyafuate huko.
Othello ujazo wa lita moja (1000ml)
SUPER...
Hello rafiki,
Naamini hakuna mtu ambae hapendi kumiliki gari ili kurahisisha shughuli za maendeleo na usafiri kwa ujumla.
Sina uchoyo hasa wa Habari, hivyo kama kweli unahitaki kununua gari...
Asalaam aleikhum ndugu zangu wa jukwaa hili mahsusi, matumaini yangu kuwa ni wazima wa afya na mnaendelea na gurudumu la kusukuma Maisha. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.
Kiwanja...
Wapendwa ktk jina la muumba Wetu aliye mkuu natumaini hamjambo Kwa uwezo wake.
Nina ndugu yangu anayetafuta Gari tajwa please aliye na Gari kama hiyo Au anayejua mwenye nayo anayeuza please...
Nauza Camon CX Air kwa Sh. 240,000 tuu Nimeitumia Mwezi Mmoja Risiti Ninayo Na Charger Yake.
-Camera 13MP
-Front 13MP
-Ina Flash Rear Na Front Cameras
-RAM 2GB
-ROM 16GB
Sababu ya Kuuza...
Mwenye computer anayeuza au kama unamfahamu mtu anauza , tafadhali naomba nijulishe.
Iwe na RAM 4GB na kuendelea.
HDD 350 na core i5.
Budget yangu ni 350000 Cash.
Kuna maeneo mazuri na ya kutosha, kwa ajili ya kuwekeza katika nyanja ya kilimo.
Ukubwa:
Kuanzia heka moja hadi mia (100). Kama utahitaji
Sehemu/eneo:
Mashamba yapo kijiji cha kibudi - bupu...
Hii simu nimeinunua mpya hata wiki mbili hazijaisha ila nmepata emergence I need the cash.<br />Ipo kwenye very good condition, Kila kitu chake kipo mpaka warrant seal. Napatikana Dar es Salaam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.