ID Fake
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 503
- 778
Salaam, kama kichwa cha habari kinavyojieleza; naomba kuelekezwa mahali panapouzwa hivyo vifaa vya kuhifadhia fedha kwa hapa Dar es Salaam.
Nahitaji safe original kama hizi zinazoonekana pichani, na sio zile fekero za vichochoroni!
Natanguliza shukrani.
Nahitaji safe original kama hizi zinazoonekana pichani, na sio zile fekero za vichochoroni!
Natanguliza shukrani.