Kitanda cha chuma 4*6

Kitanda cha chuma 4*6

Jeny faraji

Senior Member
Joined
Jan 20, 2018
Posts
164
Reaction score
34
Nauza kitanda cha chuma futi 4*6 kwa bei ya 250,000 tu
Kina uwezo wa kukunjwa na kukunjika kwa jinsi utakavo na unaweza ukakibeba uku kikiwa kimekunjwa hasa kama wewe ni mtu wa kuhama hama nyumba hii ni rahisi sanaa haikupi mzigo
Kwa anae hitaji napatikana Dar es salaam kwa mawasiliano zaidi wasiliana namimi kwa namb >> 0766166483
 
0979beaa3cab616b07da01a9d550b037.jpg
 
hhhh kumbe umeshtukia hilo dili.....shida utakiweka wap hata mlinzi hawezi kubali kukitumia
Unakiweka chumban, tena hiko ndo kizuri kukitumia sanaa kama ukiwa bachela unahama hama makaz ni rahic kukibeba
 
Mmhh kitanda kikiwa urefu sehemu ya miguu na sehemu ya kichwa sawa nakifananisha na shuleni au wanapoweka watu safari ya mwisho duniani!.. no way!.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom